nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,673
- 5,402
Hapa nawaza siku nikipata muda nipite kkoo nikanunue mengine, nikitoa haya nitayoweka nayo yatakaa kama sio mwaka, basi ni miezi sita nanunua mengine.Kwani mapazia yanafuliwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nawaza siku nikipata muda nipite kkoo nikanunue mengine, nikitoa haya nitayoweka nayo yatakaa kama sio mwaka, basi ni miezi sita nanunua mengine.Kwani mapazia yanafuliwa?
Anaendelea kusema kwambaKwenye nyimbo ya bachela, nay wa mitego anasema
“Na ukimpata niliyemuacha hauzibi pengo” hahah
Bachelor wanakuwaga sana wife na husband materials sema tu hawana mpango na kupotezeana muda na heshima zao kisa kuingia kwenye ndoa.
Mkiondoka mnaitwa “wasamaria wema” hahaHua tunafanya mengi mkuu hio ni mojawapo
Hahahaha yani mnatabia mbaya sanaMkiondoka mnaitwa “wasamaria wema” haha
Wewe ndo una tabia mbaya zaidi, hahaHahahaha yani mnatabia mbaya sana
Njoo kwangunani anipe mwaliko nije kumtembelea
yani nikufulie tena nna tabia mbayaWewe ndo una tabia mbaya zaidi, haha
Umenidanganya akatiyani nikufulie tena nna tabia mbaya
Oooh nilisahau,, ngoja nifanye chapUmenidanganya akati
Good woman.Oooh nilisahau,, ngoja nifanye chap
AlarmGood woman.
Me nitasubiri tu kama jux, hata kama ikifika mwakaAlarm
umechoka kua bachelor wewe kataa ndoaMe nitasubiri tu kama jux, hata kama ikifika mwaka
Wewe unanionea sana, usiku mwema bhnumechoka kua bachelor wewe kataa ndoa
lakini nimekusaidia ombi lako.ila huoni 🤣Wewe unanionea sana, usiku mwema bhn
Umeupiga mwingi.lakini nimekusaidia ombi lako.ila huoni 🤣
UgaliUmeupiga mwingi.