raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Wananunua meupe taulo inatakiwa iwe ya rangi nyeusi au darkblueπNashangaa eti mtu anafua taulo.
Muda mwingine dunia inatuepusha na UTI sumbufuKwenye suala la mapenzi kuna wakati ni changamoto sana
Una vinu vyako kadhaa sijui ni shetani anakuwa ana ingilia kati ama vipi
Kila utakaye mcheki ana udhuru baasi usiku kucha unalala mikono ndani ya shuka unachezea π tuu
Mm nimegoogle kama mapazia yanafuliwa kwangu ni suala geni kidogoKwani mapazia yanafuliwa?
Wananunua meupe taulo inatakiwa iwe ya rangi nyeusi au darkblueπ
πBadilisheni boxer izo mkiinama zinatia kinyaa
Mtoto wa kiume boxer tatu. Sijui mbili z nini ila moja white kwaajili ya siku ya mechi.Badilisheni boxer izo mkiinama zinatia kinyaa
Unachezea vipira π€£π€£π€£Kwenye suala la mapenzi kuna wakati ni changamoto sana
Una vinu vyako kadhaa sijui ni shetani anakuwa ana ingilia kati ama vipi
Kila utakaye mcheki ana udhuru baasi usiku kucha unalala mikono ndani ya shuka unachezea π tuu
Acha kabisa una vizunga zungusha vigololi hadi unaishia usingizini hakuna namna πUnachezea vipira π€£π€£π€£
Mwisho uvingβoe kwa hasira bure π€£π€£π€£Acha kabisa una vizunga zungusha vigololi hadi unaishia usingizini hakuna namna π
Weeeeeeeeee ndiyo moyo wangu hivyo πMwisho uvingβoe kwa hasira bure π€£π€£π€£
Ukiona vinakuzingua vichemshe supu πWeeeeeeeeee ndiyo moyo wangu hivyo π
Vina balaa ukiviona vimetulia tuu ila vya moootooo πUkiona vinakuzingua vichemshe supu π
Ujue we mwehu πππVina balaa ukiviona vimetulia tuu ila vya moootooo π
Hongera sana kwa kumuweka ndani Bl mzee wa hall v.Utumieni ubachela vizuri kabla ya siku za usuli suli hazijafika