Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeanzisha huu uzi kutokana na hali ya ubachelor nayoipitia, sometimes mambo yananyooka ila wakati mwingine yanakua nisivyotarajia mabachelor mnakaribishwa tupeane experience za maisha ya ubachelor
Sawa mkuuMM NDO DJ WA KIKAO HIKI NAWASINDIKIZA NA WIMBO WA NAY WA MITEGO MABACHELA
😂😂😂😂Huu uzi mpaka uishe hautakosa neno ‘nyeto’
😂Badilisheni boxer izo mkiinama zinatia kinyaa
Unatembelea sana maghetto ya mabachela.Acheni kufuta sahani kwa kutumia mapazia....
Acheni kunywa maji kwenye jagi, tumieni glass...
Futeni buibui ndani
Mimi ni bachalaUnatembelea sana maghetto ya mabachela.
Mshangazi OG mama la mamaMimi ni bachala
DuhBadilisheni boxer izo mkiinama zinatia kinyaa
Sijapenda😊Acheni kufuta sahani kwa kutumia mapazia....
Acheni kunywa maji kwenye jagi, tumieni glass...
Futeni buibui ndani
Salute field marshal👊 mimi hapa ni Grand marshalBinafsi Niko level ya field Marshall nimevuka bachelor, senior bachelor, principal
Changamoto kwa bachelor huwa hazipo hapo unapaswa kufurahia maisha tena sana maana hata circle Yako inakuwa ya ma bachelor ila ukifika principal na field Marshall hapa ndio huwa pagumu sana maana circle Yako huwa wengi wanafamilia na maeneo mengi utakayoenda lazima utajuliwa Khali ya familia hapo ni pa tough kidogo ila ndio vile unakaza maana hakuna namna mtaani penzi limekuwa adim sana