Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 458
- 965
AiseeBadilisheni boxer izo mkiinama zinatia kinyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeBadilisheni boxer izo mkiinama zinatia kinyaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuaNasikia river side server iko down!?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiii?Anaringa kuvionyesha hivyo [emoji523] [emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana kwa kumuweka ndani Bl mzee wa hall v.
acha tu niwe mtumwa hajui napewa ninJadda akiiona hii comment yako atasema huo ni utumwa
Tatizo hampendi ukweli,, karibun tu nilipshana na mkaka hajafunga zipu ya surual,,aiseee alichovaa ndaniii🙌🏾🙌🏾😀😀😀 hizi sasa ni kashfa
bila shaka unanifatilia😂😂eti anasema mimi mke wa mtu,, imebidi niishi nae ivo ivo ili twende sambamba,,eti nanuka kishundu na hii flat sasa angejua 🤣🤣Mzee wa kupambania na onyinye wako Ms R mmenichekesha sana punch zenu kwenye huu uzi 😂😂😂😂
Mna kitu mtafika mbali
sasa apo kwenye white tunaziona za rangi ya maziwa au udongo kabisaMtoto wa kiume boxer tatu. Sijui mbili z nini ila moja white kwaajili ya siku ya mechi.
HeheeMbona myie mnanuka kisamaki hatusemi
Tukiwapiga doggy style mnatoa harufu za vinyeo...hamtawazi?
Vumbi.Yanachafuka na nn kwanza?
Taulo linaweza lisiwe na muonekano wa kutisha kama ukiwa na hizo rangi tajwa hapo juu ila harufu sasa. Fueni taulo jamani.Wananunua meupe taulo inatakiwa iwe ya rangi nyeusi au darkblue[emoji28]
Yanafuliwa. Ukiyaacha muda sana hata mng'ao wake utaona umefifia ujue sababu ni uchafu/vumbi.Mm nimegoogle kama mapazia yanafuliwa kwangu ni suala geni kidogo
Watu wameingilia mifumo 😄Nasikia river side server iko down!?!
Tunanogesha tu uzi ila hua weekend bibie akija anazifua vzr usafi wa kina unafanyika.Yanafuliwa. Ukiyaacha muda sana hata mng'ao wake utaona umefifia ujue sababu ni uchafu/vumbi.
Vizuri.Tunanogesha tu uzi ila hua weekend bibie akija anazifua vzr usafi wa kina unafanyika.
Ndio ushasemaHuu uzi mpaka uishe hautakosa neno 'nyeto'
Lina anikwa tuTaulo linaweza lisiwe na muonekano wa kutisha kama ukiwa na hizo rangi tajwa hapo juu ila harufu sasa. Fueni taulo jamani.
[emoji134][emoji3][emoji3]Lina anikwa tu