Uzi kwa Mdada anaetambua umuhimu wa Mahusiano ya Urafiki

Uzi kwa Mdada anaetambua umuhimu wa Mahusiano ya Urafiki

Mzee umeiomba kitaalamu

😂😂😂😂
Wavumilie tu, kuna wakati hata wao hawaelewi kama ni wanawake au wanaume.
yaani nashindwa kuelewa mwanaume mwenzangu ananicheka kisa nina miaka 30 sina mchumba ... anafurahia maanguko ya wengine .. hii kitaalamu tunawaitaje hawa watu ?
 
Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
 
Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
Mhhh
 
Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
tandika uswahilini hahaha kaka kwanni tandika kuna nn. hahah ?
 
Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
Umeona ushauri huu unaotoa, baadaye karma ikikurudia kwa dada zako unaanza kulia lia humu kwamba wamezalishwa wameachwa.
 
Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
Kuzaa na demu wa Tandika si ndio balaa zaidi? Hivi mnajua hasara za kuzaa na mtu ilimradi tu.
 
Back
Top Bottom