HUKU ABROAD
Senior Member
- Nov 20, 2020
- 127
- 218
- Thread starter
-
- #21
Mzee umeiomba kitaalamu
yaani nashindwa kuelewa mwanaume mwenzangu ananicheka kisa nina miaka 30 sina mchumba ... anafurahia maanguko ya wengine .. hii kitaalamu tunawaitaje hawa watu ?ππππ
Wavumilie tu, kuna wakati hata wao hawaelewi kama ni wanawake au wanaume.
Wanajifariji tu, hata wao yao hayajawanyookea.yaani nashindwa kuelewa mwanaume mwenzangu ananicheka kisa nina miaka 30 sina mchumba ... anafurahia maanguko ya wengine .. hii kitaalamu tunawaitaje hawa watu ?
Mungu awasaidieWanajifariji tu, hata wao yao hayajawanyookea.
Wachache sana wanapitia vishawishi vingi si rahisi kupita salama kotedahh ni kweli mwanangu ila sio wote kuna wengine wanajielewa mkuu
Weka picha yako tuone
mhhh wewe hapanaWeka picha yako tuone
[emoji1787][emoji1787]mhhh wewe hapana
MhhhTafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
tandika uswahilini hahaha kaka kwanni tandika kuna nn. hahah ?Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
Umeona ushauri huu unaotoa, baadaye karma ikikurudia kwa dada zako unaanza kulia lia humu kwamba wamezalishwa wameachwa.Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
Kuzaa na demu wa Tandika si ndio balaa zaidi? Hivi mnajua hasara za kuzaa na mtu ilimradi tu.Tafuta demu umpe Mimba upate mtoto wako mmoja pesa ikibaki hudumia mimba na mtoto achana na Mwanamke wa kuoa ni upuuzi Kama upo dsm njoo Tandika uswahili upate demu wako abebe Mimba huu ndo mfumo tunatumia wajanja
Sawa mama yangu naona unanijua hata zaidi ya nijijuavyoππkwa wewe hata rafiki zako au ndugu zako wakiunguka au kupoteza direction kazi yako kubwa ni kucheka maanguko yao ?
Why calling him mama wakati ni yeye ni meπ€?Sawa mama yangu naona unanijua hata zaidi ya nijijuavyoππ
Anijuaye vizuri ni mama yangu kipi kibaya kama yeye ananinjua vizuri nafurahi kuwa na mama wawili duniani hapaWhy calling him mama wakati ni yeye ni meπ€?
Alafu umejuaje kua ni me wakati ameandika best culture desing hilo neno halifungamani na upande wa me au ke labda kama unamjua mbali na id yakeWhy calling him mama wakati ni yeye ni meπ€?