cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilishawahi date na mwanamke mnene , tukigombana ananipiga serios
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilishawahi date na mwanamke mnene , tukigombana ananipiga serios
Unaogopa kipondooo? Ukileta unaa unabondwa tyuuh hakuna namna. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usikubari kuishi na Mwanamke mwenye sifa za kiume.
Tafuta Mwanamke mwenye sifa za kike kike hasa.....
we nawe unaonekana mkorofi kama dear xUnaogopa kipondooo? Ukileta unaa unabondwa tyuuh hakuna namna. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena mie nakubonda haswaah,sema wanawake wa bongo dahh , kisa tu nilisema ntamlipa laki, hapo usiku ulie nae hata mia akupii
unatumikia mapenzi , ila kisa nimesema laki .. ningesema million sijui ingekuwaje
we nawe unaonekana mkorofi kama dear x
nakulipa laki tatu ya kutokugombana na mimi .. na kuto ongea ongea napochelewa kurudi home usiku ... hapo imekaaje ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena mie nakubonda haswaah,
Nipo kwa ajili yenuSasa sisi tusio wembamba Itakuwaje?
violence kwa mabonge sasa
Sio kwa wote aisee , huyu bonge X wangu alikua mkulyaviolence kwa mabonge sasa hii😂
kumbeSio kwa wote aisee , huyu bonge X wangu alikua mkulya
[emoji23][emoji23][emoji23]nilishawahi date na mwanamke mnene , tukigombana ananipiga serios
Nanyi tafuteni vyembamba vyenu mvikumbatie[emoji23]Sasa sisi tusio wembamba Itakuwaje?
Daka fursa bintiWeka picha mkuu nifanye tathmini
Zamu hii utapigwa na mwembambaunafikiri mazuri unacheka ... nilikabwa mimi mpaka nikasema basi umeshinda mama.... nilimkimbia nimemwachia kila kitu ndani nimeama
Hapo Imekaa poaa.nakulipa laki tatu ya kutokugombana na mimi .. na kuto ongea ongea napochelewa kurudi home usiku ... hapo imekaaje ?
Mdogo wangu hii kitaalamu inaitwa invitation to treat, uwe makini ikitokea ukampata sidhan kama huo mshahara utampa zaidi ya mwezi mmoja😃😃nitamlipa laki moja kila mwisho wa mwezi ili mambo yake madogo madogo yasimsumbue kama kwenda saloon na mambo mengine hiyo ni tofauti na pesa ya kula na matumizi ya nyumbani
HahahhhhhhhhhMdogo wangu hii kitaalamu inaitwa invitation to treat, uwe makini ikitokea ukampata sidhan kama huo mshahara utampa zaidi ya mwezi mmoja[emoji2][emoji2]