😀😀😀😀Nlishawah fanyiwa hayo na mtu nilijua baada ya kuropoka kitu ambacho nilishawah kumuelezea mtu mmoja tu ambaye ni mzazi wangu...... nilichukia sababu ni privacy nikamuuliza tu for how long umenispy na kwanin !!!!
Cha ajabu kilichonishangaza pamoja ni kujua mauchafu yangu he was still there .... sa sijui alikuwa anasubiria makubwa zaidi !!!!♀️♀️♀️
Akhii nataka nikuhack...ngoj kwanz
Hujakidhi vigezo vya huu uzibinadamu walivyo wabishi wapo ambao watataka kufanya huu mchezo wakati mahusiano yao yapo vizuri kabisa...
acha wajitafutie ugonjwa wa moyo, mm acha niwe mpenzi mtazamaji tu.
asante chief
Nitamuhack Demiss nione jinsi moyo wako ulivyooza...Siwezi jaribu hii kitu.... Najifahamu[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji298]
[SawaDo it at your own risk
Ni kweli hii njia ni ndogo kwako maana kila kitu unakiona kwenye chunguSiwezi jaribu hii kitu.... Najifahamu[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji298]
hahaha ndio mana nimeona niwe mtazamaji tu chiefHujakidhi vigezo vya huu uzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me sina mpenzi sasa labda nimjaribu mdingi. [emoji23] [emoji1] [emoji119] [emoji119]
[emoji106] [emoji106]hahaha ndio mana nimeona niwe mtazamaji tu chief
Wewe umefanya hiyo technique brother?[emoji106] [emoji106]
Angekuwepo humu JF angetupatia jibu mubashara.Wewe umefanya hiyo technique brother?
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] hongera sanaAngekuwepo humu JF angetupatia jibu mubashara.
Akina cha mdeko wanatutunushia msuli hapa hawajui wengine tunafanya mawanda huku nje [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] hongera sana