Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Not all the time, it's not good losing or hurting a person. Unaweza ukaachwa na mpenzi tu kwa sababu ya usaliti na ikakucost dearly. There is no reward for cheating....Ndio maana kuna mtu kasema inafaa kwa wapenzi na sio kwa wanandoa. Ukiachika kwa mpenzi kwa sababu kama hiyo si inakuwa kakunyima mbaazi
Kakupunguzia mashoesNdio maana kuna mtu kasema inafaa kwa wapenzi na sio kwa wanandoa. Ukiachika kwa mpenzi kwa sababu kama hiyo si inakuwa kakunyima mbaazi
Aisee pole yao[emoji125] [emoji125] [emoji125]Kuna gazeti nliona title...
"Apewa talaka kwa kupekua simu ya mumewe"
Hii ilikuwa ni India.
Pokeni sana wadada....
You are not serious mdogo wangu..yani nimfume mtu ananisaliti na katika process za uchunguzi akanikamata akaniacha af nijute?Not all the time, it's not good losing or hurting a person. Unaweza ukaachwa na mpenzi tu kwa sababu ya usaliti na ikakucost dearly. There is no reward for cheating....
Hehehehehe kazi kwenu watu wa kupenda fumanizi[/QUOhttps://www.facebook.com/samiwoodes/posts/2032236983458593TE]
Nilidukuwa simu ya mpenzi wangu, daah ! Niliyoyakuta huko yananiuma mpaka leo. Jamaa kaandika sms jinsi alivyokuwa anam....! Daaah !
Halafu demu nilidumu nae miaka mitano (baada yakudukuwa)
Nilikuja kumuacha bila kumwambia, kwa kuoa na picha ya harusi kutupia facebook. Nimeapa sidukui tena !
Ooh basi sikukuelewa. .. Me nilisemea wewe ndo ufumwe afu uachwe. Khaa sasa mtu umfumanie afu ajifanye kukuacha, mbona hujapoteza chochote, akwendreee tu.You are not serious mdogo wangu..yani nimfume mtu ananisaliti na katika process za uchunguzi akanikamata akaniacha af nijute?
Duuuh! Jasho lanitoka mkuu wanguHallow wanajf, Nimepata PM nyingi sana za wadau wa jf na zote zilitokana na comment yangu kweny uzi wa mwanajf mmoja aliyekuwa anamfatilia mpenz wake kwa njia ya whatsapp Web, wengi walitaka kufahamu zaidi njia nyingine. Nami nimeona kwa kuwa siwezi jibu kila anayekuja PM nikaona niweke hapa jamvini.
Kwanza kabsa itambulike kuwa kuchunguza simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa kisheria na kuingilia uhuru wa mtu kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kuwa na privacy zake.
Njia hizi za kutrack simu hutumika zaidi kufuatilia mtoto mdogo ambaye yupo chini usimamizi wako zaidi ya hapo
Do it for your own risk.
Mahitaji ya jumla
Lazima unayetaka kumtrack awe na simu janja hapa naamanisha Android,
Hakikisha kwenye simu ya mlengwa umeenable unknown sources ili kuinstall apps nje ya Google play. Hakikisha simu ya mlengwa ina connection ya Internet wakati unafany installation.
Hakikisha unaficha App.
(1)fungua browser yoyote kisha nenda Google search andika neno The truth spy apk kisha click search itafunguka.
(2)zitatokea nyingi sana angalia iliyoandikwa the truth spy installation chini yake kuna neno ANDROID
limeanza click hiyo itafunguka.
(3)Ikifunguka utaona neno Download version 7.5) sio lazima ikuletee namba hiyo hapo inategemea na version uliyoikuta click neno hilo download.
(4)ukisha instll hiyo app utafungua hiyo app, ukifungua utaona neno Next click hapo utaona Register new account.
(5 Baada ya hapo utaona Agree kubali hapo kisha itafunguka utaona sehemù email, hapo weka email yako wew na si yake kisha weka passrd kisha confirm passrd zako.
Ukimaliza hapo next itafunguka Activate hiyo account,itakuja sehemu imeandikwa HIDE APP ICON fanya hivyo kuificha ili isionekane.
6)Ukimaliza hapo itafanya configuration baada ya hapo umemaliza na mrudishië simu yake kama ukiwa serious hata dakika tatu haiziishi..
7) kaa baada ya muda fulani ili aweze kuwasiliana na kuchati ujinga wake na mambo mengne, kisha ww kwa muda na kwa maamuzi yako katika simu yako andika Thetruthspy. com ikifunguka angalia juu upande wa kulia utaona neno sign in click hapo ingiza email yako na passrd ulizoziandika muda ule kule hapo itafunguka na angalia upande kushoto chini utaona SMS, call history na vingine vingi,hapo utakuwa unaamua mwenyew ni muda gani uangalie.
ANGALIZO
kama unampenda usifanye hii, ila kama unamtafutia sababu ya kumuacha ruksa kufanya.HAKUNA MKAMILIFU HAPA CHINI YA JUA. mlale unono
Mbona hujatoa tahadhari kwa wanawale wamaotaka kuwadukua waume za0?Mimi nimeshatoa tahadhari kwa wale watakaofanya kwa wapenz au wake zao maana najua madhara yake ni makubwa zaidi kuliko faida zake
Eeenh sio mambo ya kuanza kuchunguzana jaman ili ugundue nini jaman
Mwanzo nilikua na tabia ya kushika simu ya mr kila nikishika lazima tu nikutane na majanga halaf kumuacha huwezi unabaki kulia lia unaombwa msamaha yanaisha
Nikakaa nikafkilia hivi nikiacha kutoshika simu yake mbona naishi kwa amani toka siku hiyo hata iite hapo hayupo akiishika atakutana na missed calls zake
Tatizo simu ya mlengwa unaipata wapi? Watu wanalinda simu zao balaa, mapassword na ma firewall nayavuka vipi??Hehehehehe kazi kwenu watu wa kupenda fumanizi
ShunieMimi huwa siafiki kuchunguza simu ya mtu muda wote bila sababu ila pia huwa sikubaliani na wanaoogopa kushika kwa kuhofia kuumia maana hawawezi kuwaacha.
Cc Heaven Sent
Yaani uwe na mchepuko halafu chain isiwepo? Acha uzinzi ndugu..hauna faida hata kidogo, utakuja juta while its too late!M nataka nijaribu kwa michepuko yangu ili nijue chain kama ndefu nijikate. Naomba kujua naweza kufuatilia simu ngapi kwa wakati mmoja?
Ndo unamuachaHII NI NZURI KTK KUMSPY MPENZI NA SYO MKE.
MPZ UNAMSPY ILI ANGALAU UMPATE WA NAFUU KITABIA KIDOGO.. LAKN MKAMILIFU HAPATKAN
NIKSHAOA, SIWEZ KUMSPY.. MANA UNAWEZA KUTA SMS ANAMSFIA MWANAUME MWENZIO KUWA ANAMKUNA VZURI KULIKO WEWE AU ANAMTATUA MARINDA.. C UNAWEZA KUJIUA KM YULE JAMAA WA MBEYA
Mm sio fan wa hii kitu. Lakin muda mwingine inakubid pale unapoona mwenzio tabia zimeanza kuchange,kaanza dharau. Hapo lazima uingie kwenye uchunguz kujua kwann .. ni bora ukajua mapema kuliko kuishi kwenye uongo huku ukiwa na matumaini hewa kuwa mwenzako hata kuachabinadamu walivyo wabishi wapo ambao watataka kufanya huu mchezo wakati mahusiano yao yapo vizuri kabisa...
acha wajitafutie ugonjwa wa moyo, mm acha niwe mpenzi mtazamaji tu.
asante chief