Uzi kwa wale wenye roho ngumu tu..

Uzi kwa wale wenye roho ngumu tu..

nilitumiaga app moja miaka ya nyuma kidogo... kila baada ya dakika sms... sema una hitaji kuwa kama usalama wa taifa una mpeleleza mtu bila yeye kujua... una fanikiwa vizuri, juzi naulizwa ulinitrack ktk simu yangu nika mjibu ndio, akauliza kwa nini? nika mjibu nilipenda kufanya hivyo...

nami nika muuliza ulikuwa una fanya yasiyo sahihi mbona kama una wasiwasi, akajibu hapana nika mpa jibu moja kuhusiana na udukuzi, alikuwa mpole...

udukuzi ni mzuri kufahamu mwenzio ana endeleaje... maisha haya tunayo ishi ni halisi au tuna act, je nikiwekeza hapa nitalipa au nika wekeze kwa wazazi wangu... wewe ni kudukua na kutunza siri zako kama jasusi... ukiwa na moyo wa plastiki usijaribu...
Sasa unamdukuaje mtu alafu anakushtukia???
 
Nlishawah fanyiwa hayo na mtu nilijua baada ya kuropoka kitu ambacho nilishawah kumuelezea mtu mmoja tu ambaye ni mzazi wangu...... nilichukia sababu ni privacy nikamuuliza tu for how long umenispy na kwanin !!!!
Cha ajabu kilichonishangaza pamoja ni kujua mauchafu yangu he was still there .... sa sijui alikuwa anasubiria makubwa zaidi !!!!‍♀️‍♀️‍♀️
Jamaa mzembe tu angekukazia yakua wewe mwenyewe ndio ulimwambia
 
Mara pap, meseji zinaingia: "asante baby, umenipa kitu sijawahi kupewa".

Unaanza kujiuliza, mke wangu kampa nini jamaa? Katika conversation zao unagundua mke anagawa jicho.

Hakika utavuna ulichopanda, sio kila kitu cha kufuatilia.
 
Sasa unamdukuaje mtu alafu anakushtukia???
Huja wahi ona... huja wahi sikia vidukuzi vime leta dhahamaa... simu za blackbery zilipigwa marufuku ktk baadhi ya nchi kwa kuwa zina tumika kudukua....

Tv za LG zilishutumiwa kuwa zina tumika kudukua pia... mzee hii ni technology... whatsapp ina shutumiwa na hasa bwana Zukenburg anapo kuwa ana onekana zaidi ktk baadhi ya kambi za kijeshi huko marekani...

Huku Telegram pia ya huko Urussi ikishutumiwa vile vile...
 
Hiyo truth spy niliwahi kuitumia,dah kama una moyo mdogo usifanye maana mauchafu yote yanakuwa wazi.
 
Back
Top Bottom