Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu ni JibuNdio maana yake.
Jaribu unaweza kuwa umepata the cheapest tiba mkuu. Sasa akianza tumia tumia pia lisije pata hasira likahamia kwakoWanasema tuu na wataendelea kusema.
Wachungaji,Masheikh,Waganga kote huko nimefika na nimetoa mamilioni ya fedha...Nimefanya utafiti wangu wa kina na hata J.f nimeangalia nikagundua huu ni mchezo tu wa kuigiza kama Corona Haitanisumbua maisha yangu yote. Nashauri watu waachane nayo tu,Watanishukuru baadae.Yanakufilisije sasa mkuuu!!!??
Mimi sina majini mkuu, yananiogopa nadhani maana nakula kayaTumia wewe.
Nimeshazeeka hapa nasubiri pension mkuu...Endelea kuomba Mungu yawezekana Umri bado.
Ulimpeleka kwa Yesu Kristo au kwa mchungaji?Jibu la nini,Nilimpeleka huko Akazidiwa mara mbili yake.
Shindwaaaaa IJN [emoji118][emoji118][emoji118]!!!Si wanasema jini halipendi kitimoto, basi halitotia mguu litakuwa linamchungulia kwa mbaliii [emoji3166]
Ahaa hapo nimekuelewa sasa! pole sanaWachungaji,Masheikh,Waganga kote huko nimefika na nimetoa mamilioni ya fedha...Nimefanya utafiti wangu wa kina na hata J.f nimeangalia nikagundua huu ni mchezo tu wa kuigiza kama Corona Haitanisumbua maisha yangu yote. Nashauri watu waachane nayo tu,Watanishukuru baadae.
Nishindweje tena mkuu. Hata Yesu majini aliyatupa kwa kitimoto ndio maana yanaigopa kitimoto toka siku hiyo. Kitimoto oilShindwaaaaa IJN [emoji118][emoji118][emoji118]!!!
Wewe ndio mchepukoHaya Majini Yanapenda Sana Pisi kali,Poa tu nimeridhia liwe mchepuko wa My wangu! Na simuachi..
Kabisa 🤣🤣!Wewe ndio mchepuko
halafu Nimekosea quote... Nilitaka kumquote alieniuliza kuwa nina jini mahaba.. sorry mkuu!Nishindweje tena mkuu. Hata Yesu majini aliyatupa kwa kitimoto ndio maana yanaigopa kitimoto toka siku hiyo. Kitimoto oil
I thought sohalafu Nimekosea quote... Nilitaka kumquote alieniuliza kuwa nina jini mahaba.. sorry mkuu!