Uzi maalum: Jini mahaba

Uzi maalum: Jini mahaba

Yanakufilisije sasa mkuuu!!!??
Wachungaji,Masheikh,Waganga kote huko nimefika na nimetoa mamilioni ya fedha...Nimefanya utafiti wangu wa kina na hata J.f nimeangalia nikagundua huu ni mchezo tu wa kuigiza kama Corona Haitanisumbua maisha yangu yote. Nashauri watu waachane nayo tu,Watanishukuru baadae.
 
Wachungaji,Masheikh,Waganga kote huko nimefika na nimetoa mamilioni ya fedha...Nimefanya utafiti wangu wa kina na hata J.f nimeangalia nikagundua huu ni mchezo tu wa kuigiza kama Corona Haitanisumbua maisha yangu yote. Nashauri watu waachane nayo tu,Watanishukuru baadae.
Ahaa hapo nimekuelewa sasa! pole sana
 
Shindwaaaaa IJN [emoji118][emoji118][emoji118]!!!
Nishindweje tena mkuu. Hata Yesu majini aliyatupa kwa kitimoto ndio maana yanaigopa kitimoto toka siku hiyo. Kitimoto oil
 
Back
Top Bottom