Uzi maalum: Jini mahaba

Yanakufilisije sasa mkuuu!!!??
Wachungaji,Masheikh,Waganga kote huko nimefika na nimetoa mamilioni ya fedha...Nimefanya utafiti wangu wa kina na hata J.f nimeangalia nikagundua huu ni mchezo tu wa kuigiza kama Corona Haitanisumbua maisha yangu yote. Nashauri watu waachane nayo tu,Watanishukuru baadae.
 
Ulimpeleka kwa Yesu Kristo au kwa mchungaji?
Wewe huwezi kula pesa yangu kama ni mchungaji tafuta kondoo wengine,Nyie mnatumia shida za watu kujinufaisha.
 
Ahaa hapo nimekuelewa sasa! pole sana
 
Shindwaaaaa IJN [emoji118][emoji118][emoji118]!!!
Nishindweje tena mkuu. Hata Yesu majini aliyatupa kwa kitimoto ndio maana yanaigopa kitimoto toka siku hiyo. Kitimoto oil
 
Nishindweje tena mkuu. Hata Yesu majini aliyatupa kwa kitimoto ndio maana yanaigopa kitimoto toka siku hiyo. Kitimoto oil
halafu Nimekosea quote... Nilitaka kumquote alieniuliza kuwa nina jini mahaba.. sorry mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…