Uzi maalum kuwakumbuka Madaktari mbalimbali waliotusaidia tulipokuwa na changamoto za kiafya

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Ďr. Julie Makani
Dr. Lisokotala
Dr. Gilbert Sanga
Dr. Ally Nah
Dr. Angela Mwakimonga
Dr. Cyprian Ellas Mayagi
Dr. David Isaya
Dr. Kache (Magu)
Dr. Masangu (Masanza Kona)
 
Mungu atuwezeshe kuzifuata nyayo zao kwenye yote yaliyo mema.
 
Miaka imepita mingi more than 15 pale Muhimbili manusula nikatwe mkono Ila kwa mchango wao walinitibu nikapona. Najiuliza kama ningekatwa mkono ingekuwaje na haya mapambano ya kuuondoa umasikini.Popote walipo nawaombea.
 
Miaka imepita mingi more than 15 pale Muhimbili manusula nikatwe mkono Ila kwa mchango wao walinitibu nikapona. Najiuliza kama ningekatwa mkono ingekuwaje na haya mapambano ya kuuondoa umasikini.Popote walipo nawaombea.
Una bahati sana
Ďr. Julie Makani
Dr. Lisokotala
Dr. Gilbert Sanga
Dr. Ally Nah
Dr. Angela Mwakimonga
Dr. Cyprian Ellas Mayagi
Dr. David Isaya
Dr. Kache (Magu)
Dr. Masangu (Masanza Kona)
Gabriel Mwasunga
 
Dr. Prof Charles huyu mwamba amesaidia sana kina mama Mungu ampe maua yake. Alikuwa BMC naskia yupo Dom DCMC mzee shikamoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…