tatizo hamsikiii, tunajisumbua kusema, hamsikii katu! sana sana mtatutukana!Wazee wa humu jamvini kwanza shkamoni. Mimi ni wa 30's.
Huu ni uzi wenu karibuni mtufunze vijana wenu
Mambo yote mtakayosema hapa yenye busara, kwetu sisi ni mali, nyie ni hazina kubwa kwetu
Karibuni wazee wangu
Mkuu nina 30Una miaka 30 alafu unajiita kijana??? Umri kama huo na bado hujajitambua yaani unatafuta ushauri?? Very pathetic being!!!
Ni wazi bado unakula kwa shikamoo na hujawai ata kulipa bill ata ya maji..idiot kabisa
Huyu Akija Nitag Fasta