mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Wazee wa humu jamvini kwanza shkamoni.
Mimi ni wa 30's.Huu ni uzi wenu karibuni mtufunze vijana wenu.
Mambo yote mtakayosema hapa yenye busara, kwetu sisi ni mali, maneno yenu hapa ya busara mtakuwa mmeweka kumbukumbu kubwa isiyofutika kwa watakaosoma hapa vizazi na vizazi nyie ni hazina kubwa kwetu.
Karibuni wazee wetu.
Mimi ni wa 30's.Huu ni uzi wenu karibuni mtufunze vijana wenu.
Mambo yote mtakayosema hapa yenye busara, kwetu sisi ni mali, maneno yenu hapa ya busara mtakuwa mmeweka kumbukumbu kubwa isiyofutika kwa watakaosoma hapa vizazi na vizazi nyie ni hazina kubwa kwetu.
Karibuni wazee wetu.