Uzi maalum kwa tuliowahi kuibiwa simu.

Uzi maalum kwa tuliowahi kuibiwa simu.

Simu yangu ya mkopo ili ibiwa kwenye basis LA Kilimanjaro express
Kitendo cha kuiweka juuu ya mapaja nikiwa naskiza mziki wakati was safari nikapitiwa na usingz kuja kushtuka nine baki na head phne
Jinsia yako ni IPI?
 
Aunt yangu aliibiwa simu kwenye Bunge la Katiba mpya wakati linaendelea live na inasemekana Bashite ndio aliipitia.
 
Wezi wanabadisha mbinu za kuiba kulingana na mazingira hakuna uzoefu ndg yangu mimi waliniibia mchana jua linawaka. Walichofanya ni jambo rahisi tu,nilitoka sokoni mikono yote miwili nimebeba mzigo nikawa natembea simu iko kwenye mfuko wa shati,wezi walikuwa watatu, wakagawana wawili wakaenda uelekeo niliokuwa naenda moja akanifuata kwa nyuma,wale walioenda mbele wakarudi tukakutana mahali njia ni nyembamba yule wa nyuma akanikanyaga kwa nyuma ile nageuza shingo kuangalia kuna nini,wale tuliokuwa tunapishana moja kulia kwangu moja kushoto wakanichomoa simu wakati yule aliyekanyaga kwa nyuma ananiomba msamaha kwamba amenikanyaga bahati mbaya kwa vile alikuwa na haraka huku aiwa anaendelea kwenda kwa mwendo wa haraka na wale tuliopishana nao pia wakaenda na haraka zao mimi muda wote sikujua picha inayochezwa,nilipobaki peke yangu nikawa nafikiria kilichofanyika siyo kitu cha kawaida ndiyo naangalia mfukoni simu hakuna, nikataka kuwakimbilia wale niliopishana nao siwaoni,nataka kumkimbiza aliyenikanyaga kwanyuma akanipita naye kashapotea nika baki naombolezea simu yangu ya laki 5 we acha tu usinikumbushe tena.
Hukujua tu hyo stile Mkuu,IPO long time Sana'a,hasqa maeneo ya KKOO MTAA WA CONHO MUHIMU kutana na hali hyo kwanza shuka Mali zako kisha geuka kiskiliza,Mimi wamenikosa kama mata2 waziwazi
 
Application nzuri ni Avast. Halafu ukiisha_idownload, hakikisha unaificha kisha activate kwa kutumia laptop/computer au simu nyingine. Activate by loging kwa kutumia either Facebook/Gmail.

Hii ilimpata wife alikuwa K/koo nilikuwa Kenya nimeshamtumia hela wakachukua simu karibu wapite na laki mbili yake. Hii story iliniuma sana sijawai taka anisimulie.

Baadae nikamtafutia simu nyingine na kuinstall hiyo app hata kwenye simu yangu.
 
Majanga ya simu kama kuna mtu hajawahi kuibiwa sijui... Sipendi hata kukumbuka kioo kidogo cha gari kubomolewa na Beg dogo kuibiwa gari ikiwa parking na ndani kuna laptop, simu, passport,tiket,card zote.... We acha tu. Mungu tu ndiye anajua kilichoendelea.
Cmu gan mkuu na hyo laptop n lini Kuna mwiz ameuza vtu kama ivyo afu ilitokea wap
 
Wezi wanabadisha mbinu za kuiba kulingana na mazingira hakuna uzoefu ndg yangu mimi waliniibia mchana jua linawaka. Walichofanya ni jambo rahisi tu,nilitoka sokoni mikono yote miwili nimebeba mzigo nikawa natembea simu iko kwenye mfuko wa shati,wezi walikuwa watatu, wakagawana wawili wakaenda uelekeo niliokuwa naenda moja akanifuata kwa nyuma,wale walioenda mbele wakarudi tukakutana mahali njia ni nyembamba yule wa nyuma akanikanyaga kwa nyuma ile nageuza shingo kuangalia kuna nini,wale tuliokuwa tunapishana moja kulia kwangu moja kushoto wakanichomoa simu wakati yule aliyekanyaga kwa nyuma ananiomba msamaha kwamba amenikanyaga bahati mbaya kwa vile alikuwa na haraka huku aiwa anaendelea kwenda kwa mwendo wa haraka na wale tuliopishana nao pia wakaenda na haraka zao mimi muda wote sikujua picha inayochezwa,nilipobaki peke yangu nikawa nafikiria kilichofanyika siyo kitu cha kawaida ndiyo naangalia mfukoni simu hakuna, nikataka kuwakimbilia wale niliopishana nao siwaoni,nataka kumkimbiza aliyenikanyaga kwanyuma akanipita naye kashapotea nika baki naombolezea simu yangu ya laki 5 we acha tu usinikumbushe tena.
Nimewai ibiwa iphone kwa mbunu iyo iyo exactly.
 
Back
Top Bottom