Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Ukitaka kuthibitisha gravitational force ipo chukua jiwe rusha angani likiendelea kwenda angani basi gravitational force haipo.Mkuu wewe unaiamini science kama wengine wanavyomuamini Mungu
Wewe una uhakika gani kuna gravitational force ushawahi kuishika au kuihisi? Au unaiamini tu kuwa ipo kwakuwa umesoma vitabu vya uongo vya science vinavyotumia shuhuda za kiungu kuthibitisha?
Shuhuda za kiungu kama zipi? Gravitational force Ipo maana inaweza kupimwa, we Mungu unamthibitishaje?Mkuu wewe unaiamini science kama wengine wanavyomuamini Mungu
Wewe una uhakika gani kuna gravitational force ushawahi kuishika au kuihisi? Au unaiamini tu kuwa ipo kwakuwa umesoma vitabu vya uongo vya science vinavyotumia shuhuda za kiungu kuthibitisha?
Missionaries walitokea wapi walioeneza dini Afrika?Fuatilia statistics za France, united kingdom Sweden, norways nk kuhusu population inayoamini dini alafu urudi kuniambia.. ukitoka hapo angalia Korea, china, nk
Anaetetea madai ya uwepo wa kitu ndie anawajibika kutoa uthibitisho au kuelezea logically or scientifically mzee baba. Sasa unasema Mungu yupo bila kuonyesha uthibitisho halafu unataka anaekataa akueleze kutokuwepo kwake.!. Mkuu upo sawa kichwani?Hakuna haja ya kuprove kama yupo, it's a logic.
Nyinyi mnasema hayupo mlifikia vipi conclusions za kuwa hayupo?? Wewe hata usijaribu kuproove hayupo ila sema tu uliifikia vipi iyo conclusion.
Wengi hapa utasikia kwasababj eti haonekani huu ni utoto sasa
Unaaminije kuwa hicho kipimo kinapima gravity? Je hio gravity yenyewe sio dhahania tu kama dhahania nyingine?Shuhuda za kiungu kama zipi? Gravitational force Ipo maana inaweza kupimwa, we Mungu unamthibitishaje?
Lakini ulisema unaiamini science kwakuwa inathibitisha vitu tangible?Science sio Imani, ni kitu halisia, na ndio maana dini na sayansi ni vitu visivyochangamana, sababu dini ni nadharia tu...
Kama ulaya ya 1800 ni sawa na ulaya ya 2024 sawa.Missionaries walitokea wapi walioeneza dini Afrika?
Mbingu ya wakristo, wahindi, waarabu, mavikings ama ipiUkienda Mbinguni ukimkuta itakuwaje ?
Muulize BRAIN BOX yeye kasema anaiamini science kwakuwa inathibitisha vitu tangibleAliyekwambia sayansi ni imani ni nani?
Hebu leta andiko lolote linalosema sayansi ni imani.
Uko unapoelekea unataka tukufundishe historia Sasa, ni hivi dini ya kikristo ilisambaa ulaya kupitia utawala wa Rumi, kumbuka kipindi icho Rumi ndo lilikuwa taifa lenye nguvu Duniani, alikuwepo mfalme Constantine ambae mwanzoni alikuwa mpagani, baadae akabadilsha dini na kuwa mkristo na kutoa amri taifa lake liwe la kikristo.. ukristo ukaendelea kusambaa kama utamaduni wa taifa kubwa unavosambaa kama lugha, uvaaji na kadhalika vinavoweza kusambaa.Missionaries walitokea wapi walioeneza dini Afrika?
Gravity sio nadharia, imethibitishwaUnaaminije kuwa hicho kipimo kinapima gravity? Je hio gravity yenyewe sio dhahania tu kama dhahania nyingine?
Wewe una kinzana na baadhi ya dini ila unaamini kuwa Mungu yupo kama ilivyokuwepo gravity shida tu hayo ni maneno ya dhahania ambayo yanahitaji uthibitisho ila kuwa Mungu yupo unaamini hiloSasa uwepo wa gravitational force unahusiana nn na kutokula nguruwe?
Ukifa ndo mwisho huwez kuamka tena. In short hakuna mbiguni Wala Mungu hayupoUkienda Mbinguni ukimkuta itakuwaje ?
Nina iamini sayansi ndio, kwa sababu imethibitisha vitu, siwezi kumuamini Mungu maana hawezi kuthibitikaLakini ulisema unaiamini science kwakuwa inathibitisha vitu tangible?
Au umebadili gia
Mungu kajijenga?Huyo anaepinga uwepo wa mungu ana matatizo makubwa sana. Je jiulize nyumba inaeza ikajijenga ikajiekea bati , tiles, rangi n.k ?? Kama nyumba inakua na designer je sisi viumbe wenye akili, nature and natural selection haiwez kutengeza k2 ambacho kipo perfect, nature is total chaos, ingekua hatuna designer, ungekuta labda tuna mkono mmoja, labda jicho liko tumboni, au uumbaji wetu usingekua perfect, perfection yako wewe fala anayesoma comment yangu ni uthibitisho tosha kwamba Kuna DESIGNER alietengeneza hizi blueprints za Duniani ambaye ndio muumba wetu mungu. Kwa akili zako za kisoda , unaeza kusoma zaidi ili kuthibitisha uwepo wa mungu kwa kubonyeza link hii Has Science Discovered God?
#No malice to anybody
Kwaiyo nikileta andiko utaamini? Kumbe nawewe unaamini maandiko?Aliyekwambia sayansi ni imani ni nani?
Hebu leta andiko lolote linalosema sayansi ni imani.
Na uyo Mungu yeye ameumbwa na nani?Huyo anaepinga uwepo wa mungu ana matatizo makubwa sana. Je jiulize nyumba inaeza ikajijenga ikajiekea bati , tiles, rangi n.k ?? Kama nyumba inakua na designer je sisi viumbe wenye akili, nature and natural selection haiwez kutengeza k2 ambacho kipo perfect, nature is total chaos, ingekua hatuna designer, ungekuta labda tuna mkono mmoja, labda jicho liko tumboni, au uumbaji wetu usingekua perfect, perfection yako wewe fala anayesoma comment yangu ni uthibitisho tosha kwamba Kuna DESIGNER alietengeneza hizi blueprints za Duniani ambaye ndio muumba wetu mungu. Kwa akili zako za kisoda , unaeza kusoma zaidi ili kuthibitisha uwepo wa mungu kwa kubonyeza link hii Has Science Discovered God?
#No malice to anybody
Siamini juu ya uwepo wa Mungu kaka, kama unaweza kunithibitishia uwepo wake, nitaanza kumuamini.Wewe una kinzana na baadhi ya dini ila unaamini kuwa Mungu yupo kama ilivyokuwepo gravity shida tu hayo ni maneno ya dhahania ambayo yanahitaji uthibitisho ila kuwa Mungu yupo unaamini hilo