Na Biblia sio kitabu Cha ukweli kuelezea chanzo Cha Dunia, maana kiliandikwa na binadamu kama wewe, tena kipindi kile walikuwa ni watu ambao hawajaenda shule.
Mfano Kuna vifungu vingi kwenye biblia vinaelezea Dunia ni sayari iliosimama yani haizunguki.
Ukisoma Joshua 10, aliamuru jua kusimama Ili kuwe mchana kwa mda mrefu, Ili aue watu.
Sayansi imethibitisha Dunia inazunguka jua, na ni jua ndo limesimama.
Mfano Kuna vifungu vingi kwenye biblia vinaelezea Dunia ni sayari iliosimama yani haizunguki.
Ukisoma Joshua 10, aliamuru jua kusimama Ili kuwe mchana kwa mda mrefu, Ili aue watu.
Sayansi imethibitisha Dunia inazunguka jua, na ni jua ndo limesimama.