Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

nilishatoa mfano nikasema umekuta nyumba inajengwa umekuta na vifaa hapo ila hujakuta mafundi, au huwaoni hapo,

Je jengo na vifaa vyao sio uthibitisho kua mafundi wapo arround ?

tumeikuta dunia na mechanisim zake zinazoendelea kiasi cha kufanya uhai uendelee kiwepo.

hii sio uthibitisho wa nguvu iliyofanya viwepo hapo, elewa kwa mantiki hiyo
the highest power source of everything, Mungu

je wewe unachaguaje upande tu wa kusema default ni hayupo kwasababu humuoni ?
Na uyo Mungu aliumbwa na nani? Kama hakuumbwa basi hata Dunia pia haikuumbwa, Ilikuwepo tu.
 
So something invisible causes gravity?
Haijathibitishwa bado.

Ni nadharia tu.
And it is massive enough to provide sufficient gravity to hold galaxies. And this makes sense to you but belief in God doesn't ?? 😂
Haijathibitika kwa uhakika kwamba dark matter ndio ina provide sufficient gravity to hold galaxies.

Bado tafiti zinaendelea kuchunguza ukweli wa madai haya.
In this case, kama science had come into conclusion of this invisible energy holding the galaxies (no body knows where it comes unless unataka kubreak principle of energy conservation) na ukaamini then I start to wonder ulifikia vipi conclusion ya kwamba Mungu hayupo, unaweza jaribu kunitengenezea logic yako
Na wewe ulianzaje kujua Mungu yupo na ukafikia hatua ya kusema Mungu yupo ilhali haujaweza kutoa definition ya Mungu ni nini?
 
Na uyo Mungu aliumbwa na nani? Kama hakuumbwa basi hata Dunia pia haikuumbwa, Ili kuwepo tu.
hili swali nimelijibu multiple times hadi kwa mifano rahisi, kwenye bandiko hilihili, naona wote wameshakumbia kina kiranga,

umelirudia tena na nadhani hatawe ulishaliuliza

"soma kwa hatua"
 
Na uyo Mungu aliumbwa na nani? Kama hakuumbwa basi hata Dunia pia haikuumbwa, Ili kuwepo tu.
hili swali nimelijibu multiple times hadi kwa mifano rahisi, kwenye bandiko hilihili, naona wote wameshakumbia kina kiranga,

umelirudia tena na nadhani hatawe ulishaliuliza

"soma kwa hatua"
 
hili swali nimelijibu multiple times hadi kwa mifano rahisi, kwenye bandiko hilihili, naona wote wameshakumbia kina kiranga,

umelirudia tena na nadhani hatawe ulishaliuliza

"soma kwa hatua"
Unajibu swali kwa kutumia mifano ambayo ipo na mifano hiyo ina thibitishika ipo, Kuelezea kitu ambacho hakipo na huwezi kuthibitisha kipo.

Kwa nini utumie mifano ambayo ipo kuelezea kitu ambacho hakipo?

Kwa nini utumie vitu vilivyopo kuelezea Mungu ambaye hayupo?

Muelezee na mthibitishe Mungu mwenyewe yeye kama yeye.

Sio kutumia mifano ya vitu ambavyo vipo kutaka kusema ndio uthibitisho wa huyo Mungu, ilhali hujaeleza huyo Mungu ni nini?
 
Haijathibitishwa bado.

Ni nadharia tu.

Haijathibitika kwa uhakika kwamba dark matter ndio ina provide sufficient gravity to hold galaxies.

Bado tafiti zinaendelea kuchunguza ukweli wa madai haya.

Na wewe ulianzaje kujua Mungu yupo na ukafikia hatua ya kusema Mungu yupo ilhali haujaweza kutoa definition ya Mungu ni nini?
Nothing can originate from nothing (law of conservation of energy and law of conservation of matter) You can't say kuna invisible force that holds the galaxy (haimake sense, it is illogical)
The precision of Universe and how did everything came to align itself in position (Huwezi kusema un-natural force unless there's a creator for this ndo most logical conclusion)
How everything came into motion and how these motions balance (haziwezi kujiset zenyewe kwenye motion unless they get energy from somewhere else which also means there will be creator X)
NOTE: nothing can move unless compelled by an external force (first law of motion)
Just this few, it was sufficient to say the most logical conclusion ni kuona kwamba there's a creator for this universe
 
I'm not into biology shi*ts, unasema theory of evolution haisemi kama tumeevolve from apes (kasome tena alafu ulete maelezo), ila wote babu yetu ni mmoja
Does this mean, kuna someone huko nyuma yeye alikuwa anazaa apes na humans at the same time??? Ama nimekuelewa vibaya
Ndio maana nikasema kaka ukiingiza elimu ya kidini utashindwa kuelewa mantiki, kiufupi ni hivi, hii Dunia, Ina umri wa mabilioni ya miaka, kwa maana Kuna kipindi hakukuwa na viumbe Duniani, baadae vikaanza ku evolve kwa ku adopt mazingira, Sasa ss babu yetu alizaa watoto walio adopt mazingira kitofauti ndo zikatokea izo jamii za sokwe, nyani, binadamu n.k
 
Unajibu swali kwa kutumia mifano ambayo ipo na mifano hiyo ina thibitishika ipo, Kuelezea kitu ambacho hakipo na huwezi kuthibitisha kipo.

Kwa nini utumie mifano ambayo ipo kuelezea kitu ambacho hakipo?

Kwa nini utumie vitu vilivyopo kuelezea Mungu ambaye hayupo?

Muelezee na mthibitishe Mungu mwenyewe yeye kama yeye.

Sio kutumia mifano ya vitu ambavyo vipo kutaka kusema ndio uthibitisho wa huyo Mungu, ilhali hujaeleza hu

Unajibu swali kwa kutumia mifano ambayo ipo na mifano hiyo ina thibitishika ipo, Kuelezea kitu ambacho hakipo na huwezi kuthibitisha kipo.

Kwa nini utumie mifano ambayo ipo kuelezea kitu ambacho hakipo?

Kwa nini utumie vitu vilivyopo kuelezea Mungu ambaye hayupo?

Muelezee na mthibitishe Mungu mwenyewe yeye kama yeye.

Sio kutumia mifano ya vitu ambavyo vipo kutaka kusema ndio uthibitisho wa huyo Mungu, ilhali hujaeleza huyo Mungu ni nini?
utatumiaje vitu ambavyo Havipo kuthibitisha we jamaa ?

sawa kwaiyo wewe unatumia vitu ambavyo vipo kuthibitisha kwamba Mungu Hayupo ?
sasa...
Dunia ipo na Jua lipo, na Dunia inazunguka jua

unathibitishaje kwamba Mungu hayupo ? kwakutumia hivyo vitu ambavyo vipo?
 
hili swali nimelijibu multiple times hadi kwa mifano rahisi, kwenye bandiko hilihili, naona wote wameshakumbia kina kiranga,

umelirudia tena na nadhani hatawe ulishaliuliza

"soma kwa hatua"
Naomba unijibu na mm, uyo Mungu aliumbwa na nani?
 
Nothing can originate from nothing (law of conservation of energy and law of conservation of matter) You can't say kuna invisible force that holds the galaxy (haimake sense, it is illogical)
Ndio maana nika kwambia ni madai ambayo hayaja thibitishwa.

Ni nadharia tu.
The precision of Universe and how did everything came to align itself in position (Huwezi kusema un-natural force unless there's a creator for this ndo most logical conclusion)
Kwa nini umu exclude huyo creator kwenye logic ya kuumbwa?

Huoni kwamba utaji Contradict na statement yako ya kusema nothing can originate from nothing.

Huyo creator yeye amewezaje ku originate from nothing?
How everything came into motion and how these motions balance (haziwezi kujiset zenyewe kwenye motion unless they get energy from somewhere else which also means there will be creator X)
NOTE: nothing can move unless compelled by an external force (first law of motion)
Just this few, it was sufficient to say the most logical conclusion ni kuona kwamba there's a creator for this universe
If nothing originate from nothing,

Huyo creator aliwezaje ku originate from nothing?

Kama haku originate from nothing, Creator huyo alitoka wapi?

Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
 
pitia text huko juu nadhani nilimuelezea kwa kina Kiranga

kama ameelewa aje akufafanulie
Mwisho wa siku, Imani juu ya uwepo wa Mungu inabaki kuwa Imani tu, hakuna anae weza kuthibitisha. Mungu, yesu, majini, malaika wachawi, watabaki ku exist kwenye imagination zetu tu, lakini physically hawapo.
 
Ndio maana nikasema kaka ukiingiza elimu ya kidini utashindwa kuelewa mantiki, kiufupi ni hivi, hii Dunia, Ina umri wa mabilioni ya miaka, kwa maana Kuna kipindi hakukuwa na viumbe Duniani, baadae vikaanza ku evolve kwa ku adopt mazingira, Sasa ss babu yetu alizaa watoto walio adopt mazingira kitofauti ndo zikatokea izo jamii za sokwe, nyani, binadamu n.k
Viumbe wakatokana na Nini??? I presume this reaction (which lead to the creation of life-forms) was spontaneous
A spontaneous process must always result to an increase in entropy of a system (the entropy of a universe always tends to increase) in this case for this reaction to proceed an enormus energy must be absorbed to just have a single life-form created.
Energy is transferred through work, sasa ni nini ilifanya hii kazi ya kutransfer this much energy from the universe tu attain such a low entropy on life-forms?? Usiniambie hapa habari za invisible force that's ridiculous
 
nilishatoa mfano nikasema umekuta nyumba inajengwa umekuta na vifaa hapo ila hujakuta mafundi, au huwaoni hapo,

Je jengo na vifaa vyao sio uthibitisho kua mafundi wapo arround ?

tumeikuta dunia na mechanisim zake zinazoendelea kiasi cha kufanya uhai uendelee kiwepo.

hii sio uthibitisho wa nguvu iliyofanya viwepo hapo, elewa kwa mantiki hiyo
the highest power source of everything, Mungu

je wewe unachaguaje upande tu wa kusema default ni hayupo kwasababu humuoni ?
Hiyo ni analogy ya watchmaker ilianzishwa na Paley mwaka 1770.

Paley ali argue kuwa ukiwa unatembea kwenye fukwe ukakuta saa lazima utajua tu kuwa ile saa imetengenezwa.

Sasa.

Hoja ni kwamba hatuna experience yeyote iliyowahi kushuhudiwa ya ulimwengu kuumbwa.

The fact ni kwamba vitu vyote tunavyodai kujua vyanzo vyake tunakuwa tumepata knowledge kupitia previous experiences tukiviona vinaundwa au tukiviunda wenyewe.

Kwa hiyo mfano wako wa nyumba, tunajua kwamba nyumba inajengwa na Mason (Mwashi)

Kwasababu tunaweza kuchunguza jinsi ilivyojengwa na kuweza kulinganisha na nyumba zingine kupima kama zina sababu zinazofanana katika ujengwaji wao.

So nikija katika hoja yako ni kuwa hatuna experience ya ulimwengu kuumbwa wala ulimwengu mwingine wowote wa kulinganisha na huu ulimwengu wetu.

Kwa hiyo itakuwa ni upumbavu kuhusisha ulimwengu kuwa umeumbwa na Mungu katika namna sawa na ambavyo nyumba iliundwa.
 
utatumiaje vitu ambavyo Havipo kuthibitisha we jamaa ?
Mimi sidai kwamba Mungu yupo.

Na vitu hivi ambavyo vipo, Havihitaji huyo Mungu ili viwepo.

Vitu hivi vipo vyenyewe tu pasipo huyo Mungu.


sawa kwaiyo wewe unatumia vitu ambavyo vipo kuthibitisha kwamba Mungu Hayupo ?
Wewe unayedai kwamba vitu hivi haviwezi kuwepo vyenyewe tu pasipo huyo Mungu ndio inabidi uthibitishe?

Usitumie vitu hambavyo vipo vyenyewe tu, kutaka kusema Mungu wako huyo ndiye Muumbaji wake .

Wakati hata kumthibitisha huyo Mungu yeye kama yeye huwezi na umeshindwa.
sasa...
Dunia ipo na Jua lipo, na Dunia inazunguka jua

unathibitishaje kwamba Mungu hayupo ? kwakutumia hivyo vitu ambavyo vipo?
Dunia na jua vipo vyenyewe tu pasipo kuhitaji huyo Mungu wako unayedai yupo.

Kwa nini unafosi na unalazimisha kutumia Dunia na Jua ambavyo vipo kutaka kusema Mungu yupo?
 
Mwisho wa siku, Imani juu ya uwepo wa Mungu inabaki kuwa Imani tu, hakuna anae weza kuthibitisha. Mungu, yesu, majini, malaika wachawi, watabaki ku exist kwenye imagination zetu tu, lakini physically hawapo.
tena Yesu ndo anathinitishika physically kwa ku pitia Archeology na Ancient history kwasababu ali exist kama Human being, kwaiyo ameacha Trace nyingi tuu ambazo hadi science inakubali ali ishi takriban miaka 2000 iliyopita
 
Back
Top Bottom