Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Ukitaka kuthibitisha gravitational force ipo chukua jiwe rusha angani likiendelea kwenda angani basi gravitational force haipo.

Likirudi chini nenda kasome sayansi uone inavyo sema kisha utathibitisha mwenyewe.
Kama haumini uwepo wa Mungu unakuwa sawa na mbumbu tu

Kwani Sayansi ni Nini?

Maana ninachojua Mimi Sayansi ni kujifunza jinsi gani Mungu kaumba ulimwengu na viumbe vyake

BIOLOGY
binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba viumbe hai hakuna kiumbe chochote kilichoumbwa na mwanasayansi zaidi ya kujifunza hivyo alivyovikuta

CHEMISTRY
Binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba chemical reaction hakuna binadamu yoyote aliumba atoms zaidi ya kujifunza hizo alizozikuta

GEOGRAPHY
Binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba ulimwengu Nyota na Sayari
Hakuna binadamu yoyote aliyeumba Sayari zaidi ya kujifunza hizo alizozikuta

Na bado Kuna mambo mengi yapo hapa ulimwenguni na hao wanasayansi hawayajui Kwa sababu upeo wao ni wakibinadamu mtoa mada amesema una limit

Ni mjinga pekee anayeweza kuutenganisha Sayansi na kazi za Mungu
 
Kwaiyo nikileta andiko utaamini? Kumbe nawewe unaamini maandiko?
Ukileta andiko na hicho kilichomo na kinacho elezewa kwenye hilo andiko kinathibitishika kweli kipo, Andiko hilo litakuwa la ukweli na uhakika.
Na vipi kama hayo maandiko ni ya kutunga?
Ukileta andiko lisilo na uthibitisho wowote ule wa hicho kilichomo na kinacho elezewa kwenye andiko hilo,

Kitu hicho na andiko hilo litakuwa ni uongo sawa na hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.
 
Kama haumini uwepo wa Mungu unakuwa sawa na mbumbu tu

Kwani Sayansi ni Nini?

Maana ninachojua Mimi Sayansi ni kujifunza jinsi gani Mungu kaumba ulimwengu na viumbe vyake

BIOLOGY
binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba viumbe hai hakuna kiumbe chochote kilichoumbwa na mwanasayansi zaidi ya kujifunza hivyo alivyovikuta

CHEMISTRY
Binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba chemical reaction hakuna binadamu yoyote aliumba atoms zaidi ya kujifunza hizo alizozikuta

GEOGRAPHY
Binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba ulimwengu Nyota na Sayari
Hakuna binadamu yoyote aliyeumba Sayari zaidi ya kujifunza hizo alizozikuta

Na bado Kuna mambo mengi yapo hapa ulimwenguni na hao wanasayansi hawayajui Kwa sababu upeo wao ni wakibinadamu mtoa mada amesema una limit

Ni mjinga pekee anayeweza kuutenganisha Sayansi na kazi za Mungu
Unarukia kusema Mungu kaumba ulimwengu na viumbe vyake, Halafu hujathibitisha uwepo wa huyo Mungu?

Huoni kwamba unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule?

Thibitisha kwanza huyo Mungu yupo, Kisha ndio ueleze namna gani aliumba ulimwengu na viumbe?

Unarukia kuhesabu mbili badala ya kuanza na moja!!
 
Ntakuja kukujibu hilo, kwanza jielimishe vzuri nliweka link kwenye comment yangu. Ukishakua na maarifa ndio ntaeza kukuelezea vyema lkn saiv Bado ww mweupe kabisa
Sawa kaka, iyo article Yako nimeisoma yote, lakini hakuna sehemu wamethibitisha kuwa Mungu yupo.
 
Kama haumini uwepo wa Mungu unakuwa sawa na mbumbu tu

Kwani Sayansi ni Nini?

Maana ninachojua Mimi Sayansi ni kujifunza jinsi gani Mungu kaumba ulimwengu na viumbe vyake

BIOLOGY
binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba viumbe hai hakuna kiumbe chochote kilichoumbwa na mwanasayansi zaidi ya kujifunza hivyo alivyovikuta

CHEMISTRY
Binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba chemical reaction hakuna binadamu yoyote aliumba atoms zaidi ya kujifunza hizo alizozikuta

GEOGRAPHY
Binadamu anajifunza jinsi gani Mungu kaumba ulimwengu Nyota na Sayari
Hakuna binadamu yoyote aliyeumba Sayari zaidi ya kujifunza hizo alizozikuta

Na bado Kuna mambo mengi yapo hapa ulimwenguni na hao wanasayansi hawayajui Kwa sababu upeo wao ni wakibinadamu mtoa mada amesema una limit

Ni mjinga pekee anayeweza kuutenganisha Sayansi na kazi za Mungu
Hapa umedanganya, ila Cha msingi usikwepeshe mada, thibitisha uwepo wa uyo Mungu.
 
Soma page zote saba. Uthibitisho sio mungu , ni Designer ambaye sisi tunamuita Mungu
Wanasema kwa mfano, kuwepo kwa DNA Kunaonesha Kuna Mungu, lakin hawajotoa uthibitisho kuwa uyo Mungu yupo, wame speculate tu
 
Sitatumia maandiko ya Dini Quran wala Bible, labda wataelewa kidogo, maana humu JF nimegundua wapo wengi, unaweza ukajikuta una chati hata na shetani directly, anapotosha

Tuanzie kwenye Civilization na Level ya akili na kufikiri viumbe mbalimbali wapo kwenye level tofauti za civilization na akili. Inaweza kuonekana kupitia namna yao ya maisha.

Mfano Simba wana territory yao wanaweka alama kabisa iwe kuacha kinyesi n.k ila wana mipaka ya utawala na kuna utawala wa simba dume eneo hilo ambapo akiingiliwa na Simba mwingine ambae hakua hapo lazima wapigane vibaya sana hadi moja akubali show.

Tembo pia vilevile kiasi kwamba mwenzao akifa wanahizunika na kuonyesha kuomboleza...

Mchwa pia, wapo wana utawala wao, wana malkia, kuna walinzi kuna wajenzi, na wanajenga haswa, kichuguu kimejengwa kwa ustadi haswa inaonyesha kabisa wana mawasiliano mazuri sana na wanajua wanachokifanya.

Nyuki pia vile vile, wana jenga nyumba yao, sehemu ya kuwekea asali, kuna malkia, kuna wanaolinda eneo, nknk.

Yaani hadi wanavyotengeneza asali kumlinda malkia na kulinda eneo lao, lina onyesha wazi level yao ya kujielewa na level ya mawasiliano ni kubwa kabisa.

wanyama ni wengi ambao tunaweza kuwa tumia kama reference, Sokwe etc.

Hawa viumbe wote, kila mmoja kwa nafasi yake mfano tuchukulie nyuki, wanajiona wana akili(ni kweli wanayo),
wanajiona wanajua mambo mengi na kufikiri logically kwamba huyu ametuchokoza kwaiyo tuji-oganize kushambulia na kujilinda, wanajua kujenga, wanamuheshimu malkia na kumlinda...

ila pia kuna mambo hawajui na hawajui kama hawajui na hawawezi kukuelewa hata ukijaribu kuwaelewesha,
na hautakua hata na intrest ya kuwaelewesha...

Mfano: Je binadamu anaweza kua na interest ya kutaka kumuonyesha nyuki ni jinsi gani binadamu wameendelea kiteknolojia?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba binadamu anaweza kuongea na mtu wa marekani kupitia iternet kwamba binadamu anaweza kuwasiliana hivi Jamii Forums kwa id fulani na hawajawai kuonana wala kua na namba ya simu wala kukutana?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba hilo bomba linalotoa maji au hiyo taa inayowaka usiku barabarani au nyumbani imetengenezwa na binadamu na sio kwamba ipo tuu... inakazi na bili zinalipwa?

Hayo ni baadhi ya maendeleo ya binadamu na kujaribi kulinganisha uwezo wa akili wa nyuki na binadamu,

Ni dhahiri kwamba hai make sense kwa nyuki, na hatuna interest ya kutaka kumuelewesha

Tumetofautiana kiakili na nyuki kiasi cha kua sisi tunaweza kumuelewa nyuki ila yeye hawezi kutuelewa

Nyuki nae usipo mlinganisha na binadamu, ana akili kubwa tuu na huenda anajiona vilevile binadamu anavyojiona kiakili, na anakiamini kile akili yake inachowaza kumbe ndo akili yake ilipoishia.

Vile vile kwa binadamu anajiona yupo advanced kiakili ambayo ni kweli pia kwa nafasi yake lakini pia na yeye ana limit ambayo akili yake inaishia.

Tunaona tu dunia, jua mwezi, maporomoko na vingine, ni kama tuu nyuki akikutana na taa, bomba la maji, kweli anaona taa inatoa mwanga, bomba linatoa maji...

Ila hajui hasa lile bomba imekuaje lipo pale, au taa imekuaje ipo pale, imewekwa na nani?

Anachojua inatoa mwanga, mechanism nyuma yake je inakuaje inawaka usiku mchana haiwaki? Inakazi gani haswa? Hajui na hana uwezo wa kufatilia kujua.

probably akiona gari anajua ni mojawapo ya viumbe wengine, hajui kama binadamu ndo yupo ndani anaendesha. au anaweza kua analichukulia kwa namna tofauti kabisa. au hata haelewi chochote.

Hiyo ni relation tu ya kuonyesha jinsi akili ya viumbe mbalimbali ina limit yake

Binadamu pia limit ya akili yetu ina limit inapoishia

Mfano ndo unakutana na Mtu anayesema "Mungu Hayupo kwasababu Huwezi kumuona wala kumgusa wala kusikia sauti yake"

Hiyo ni moja wapo ya limit ya akili yetu, ina depend moja kwa moja na milango ya fahamu, masikio macho, pua, ulimi, ngozi...

Anakwambia "jua lili kwepo tuu, na dunia ilikwepo tuu, kwamba kama jua au dunia haiwezekani kuwepo tuu, basi na Mungu hawezekani kuwepo"

Inaonyesha ni jinsi gani akili yetu inafikia limit, kuyaelewa mambo mengine..

Mambo ambayo hatuyajui bado ni mengi ni infinity ♾️, na ningumu hata kuingia akilini haya make sense kwasababu yapo beyond uwezo wa akili.

Kama vilevile tulivyoona kwa mfano wa nyuki, kwamba kumuelezea hata teknolojia yetu hai make sense, kwaajili ya limit yao ya akili.
Hakuna mtu anaye pinga uwepo wa Mungu. Watu wanapinga vitabu fake vya dini. Ambavyo vinadanganya watu kuwa vilishushwa na Mungu wakati viliandikwa na watu tu kama mimi na wewe. Mungu anawasiliana na kila binadamu bila kujari dini ya mtu . MUNGU HAJUI ISLAMA WALA UKIRISTO. TUKIKUBALIANA KUWA VITABU VYA DINI KUWA NI ULAGHAI TU. KAMA TUKIKUBALIANA KWA HILO THEN TUNAWEZA KUBISHANA KUHUSU UWEPO WA MUNGU.
 
Anaetetea madai ya uwepo wa kitu ndie anawajibika kutoa uthibitisho au kuelezea logically or scientifically mzee baba. Sasa unasema Mungu yupo bila kuonyesha uthibitisho halafu unataka anaekataa akueleze kutokuwepo kwake.!. Mkuu upo sawa kichwani?
Mkuu Elewa kwanza basi,
Mimi sitaki unithibitishie kama hayupo, nataka unielezee logically hadi ukafikia conclusion hayupo. Otherwise uko tu brainwashed na ideas za mtu anayefikiria mungu hayupo na wewe ukalibeba zima zima kama mtu asiye na ubongo
 
Afu pia utuambie ni Mungu gani unamuongelea hapa Allah, Yawhew, Zeus, Sangoma, Vishnu au Warumbe. Kuwa specific.
Kuna miungu zaidi ya 4000 Duniani
That's not the topic of today, save that argument for the other day, unless kama unakiri Mungu yupo tuendelee na argument nyingine ya kumdescribe yeye mwenyewe
 
Hakuna mtu anaye pinga uwepo wa Mungu. Watu wanapinga vitabu fake vya dini. Ambavyo vinadanganya watu kuwa vilishushwa na Mungu wakati viliandikwa na watu tu kama mimi na wewe. Mungu anawasiliana na kila binadamu bila kujari dini ya mtu . MUNGU HAJUI ISLAMA WALA UKIRISTO. TUKIKUBALIANA KUWA VITABU VYA DINI KUWA NI ULAGHAI TU. KAMA TUKIKUBALIANA KWA HILO THEN TUNAWEZA KUBISHANA KUHUSU UWEPO WA MUNGU.
So, wote mnakubali kama Mungu yupo ila dini ndo mnazikataa?? Labda mnieleze vizuri hapa, ukute tunabishana alafu hakuna mada
 
Unarukia kusema Mungu kaumba ulimwengu na viumbe vyake, Halafu hujathibitisha uwepo wa huyo Mungu?

Huoni kwamba unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule?

Thibitisha kwanza huyo Mungu yupo, Kisha ndio ueleze namna gani aliumba ulimwengu na viumbe?

Unarukia kuhesabu mbili badala ya kuanza na moja!!
Uwepo wako wewe hapa Duniani pia ni Moja ya uthibitisho kama Mungu yupo otherwise usema ilikuwaje Hadi wewe Leo hii upo hapa Duniani
 
Mkuu Elewa kwanza basi,
Mimi sitaki unithibitishie kama hayupo, nataka unielezee logically hadi ukafikia conclusion hayupo. Otherwise uko tu brainwashed na ideas za mtu anayefikiria mungu hayupo na wewe ukalibeba zima zima kama mtu asiye na ubongo
Hakuna popote ambapo ambapo nimesema Mungu hayupo. Kwa lugha rahisi tuseme nipo neutral.
 
Hakuna mtu anaye pinga uwepo wa Mungu.
Mimi hapa napinga uwepo wa huyo Mungu.

Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Watu wanapinga vitabu fake vya dini. Ambavyo vinadanganya watu kuwa vilishushwa na Mungu wakati viliandikwa na watu tu kama mimi na wewe. Mungu anawasiliana na kila binadamu bila kujari dini ya mtu . MUNGU HAJUI ISLAMA WALA UKIRISTO. TUKIKUBALIANA KUWA VITABU VYA DINI KUWA NI ULAGHAI TU. KAMA TUKIKUBALIANA KWA HILO THEN TUNAWEZA KUBISHANA KUHUSU UWEPO WA MUNGU.
Watu wanahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo, hayupo na wala hatakaa awepo kujidhihirisha na kujiongelea mwenyewe yeye kama yeye.
 
So, wote mnakubali kama Mungu yupo ila dini ndo mnazikataa??
Utakubalije kitu ambacho hakina uthibitisho zaidi ya madai tu?

Ukidai Mungu yupo mthibitishe yupo, kama huwezi kuthibitisha Mungu yupo, Ni kwamba hayupo.

Sasa ninyi waamini Mungu mnaleta madai ya uwepo wa Mungu halafu uthibitisho hamna, Mnataka sisi ambao hatujui huyo Mungu wenu ni nini tuwathibitishie madai yenu!


Labda mnieleze vizuri hapa, ukute tunabishana alafu hakuna mada
Mlio ibua madai ya uwepo wa Mungu ni nyie Theists, Sasa thibitisheni hoja zenu na madai yenu.

Sisi Atheists hatumjui huyo Mungu ndio maana tunasema hayupo.

Leteni uthibitisho wa uwepo wa Mungu huyo tumjue yupo.

As simple as that.
 
Back
Top Bottom