Uzi maalum kwa waliokosea kuoa na kuolewa au kuwa kwenye mahusiano

Uzi maalum kwa waliokosea kuoa na kuolewa au kuwa kwenye mahusiano

Mwanaume au dume lolote halikuumbiwa mwanamke au jike mmoja.. na ndiyo maana hata duniani wanawake ni wengi na sisi wanaume ni wachache na pia ulishawahikujiuliza wanaume tukasema tuwe na mwanamke mmoja mmoja hao wengine watadinywa na nani ili wakae sawa na je, hiyo dhambi sisi tutaenda kuisemea wapi?
Hili la wanawake kuwa wengi kuliko wanaume unalithibitisha vipi?
 
Namba 8.

Kuna wasichana wanaona bora tu aolewe na fulani. Hata kama ana vihela yeye anaona sawa tu. Hata kama watoto wakisoma shule za nanili kwake sawa tu.

Mtu anakuambia mbona yule rafiki yako ameoa na anaishi vizuri tu na mke wake. Wewe unataka maisha ya namna gani ? Au unataka kunipotezea.

Yaan kuna KE wanazingua, wanaona ndoa ni jambo dogo sana.

Sijaachana nae ila anazidi kunikera kadri siku zinavyokwenda.
 
Angekuwa ni mwanamke ndio ametaja idadi hiyo ya wanaume, angeshaitwa malaya hata kama ni hao wanaume ndio waliomuacha, kumbe uhalisia wa haya mahusiano mnaujua ila huwa mnajitoa ufahamu tu
Ifungulie uzi wake
 
Dunia imekaa vbay now yaan ni

Wrong person right time
Right person wrong time
 
Malaya ni mtu anaye ishi na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja.

Kuishi kimapenzi na watu wengi kwa wakati tofauti tofauti haufai kuitwa MALAYA.
Kama na kuelewa hiviii
 
Back
Top Bottom