Hili la wanawake kuwa wengi kuliko wanaume unalithibitisha vipi?Mwanaume au dume lolote halikuumbiwa mwanamke au jike mmoja.. na ndiyo maana hata duniani wanawake ni wengi na sisi wanaume ni wachache na pia ulishawahikujiuliza wanaume tukasema tuwe na mwanamke mmoja mmoja hao wengine watadinywa na nani ili wakae sawa na je, hiyo dhambi sisi tutaenda kuisemea wapi?
Kila ukimgusa anawasha, ukimlamba anawasha , ukifanya chochote ni miwasho tuu kila mahaliOgopa kukutana na mwanamke pilipili.
Deep down in the human soul..💝 Touched by loving caring hand🤌.. chords that are broken💔 will vibrate 💓once more💗💥12. Ametendwa alikotoka so anajihami anaona na ww utamfanyia yaleyale kumbe wala wee ni mtu mwema tu
Ifungulie uzi wakeAngekuwa ni mwanamke ndio ametaja idadi hiyo ya wanaume, angeshaitwa malaya hata kama ni hao wanaume ndio waliomuacha, kumbe uhalisia wa haya mahusiano mnaujua ila huwa mnajitoa ufahamu tu
Kama na kuelewa hiviiiMalaya ni mtu anaye ishi na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja.
Kuishi kimapenzi na watu wengi kwa wakati tofauti tofauti haufai kuitwa MALAYA.