bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Hakuna changamoto mambo yote ni shwari ikiwa umejipanga vizuri.Wastaafu hebu tukutane hapa tupeane taarifa za kupambana mtaani, changamoto mbalimbali na connection mbalimbali na kielekezana na mbalimbali kukabiliana na maisha ya mtaani
Kweli kabisaTunateseka sana mzee mwenzangu
Hata utelezi hatuupati kirahisi
SawasawaHakuna changamoto mambo yote ni shwari ikiwa umejipanga vizuri.
Ndiyo muda wako wa kupumzika na kutembea nchi mbali mbali kujionea dunia
Ukistaafu mjini baki huko, ukistaafu kijijini baki hukohukoKuna mzee mmoja alisema, ukistaafu usirudi kijijini, utakufa mapema
Aiseee,nimecheka kisenge yani [emoji3][emoji3][emoji3]Ila mafao yanaisha haraka sanaaaaaa haswa ukiwa na ATM card, mimi naichukia sana ATM card maana unaenda kutoa tu kila zikiisha unaenda kumbe na kule kwenye acc ndio zinaondoka hazirudi tena.....
Kuna siku nilienda bank nikatoa nyingi basi nikawa nazo ndani nachomoa mdogo mdogo kuja kuangalia bahasha ipo tupu yaaani mpk nikaichana ili kuhakiki maana nikawa siamini aiseeee hela inaenda
Mstaafu hatakiwi kuanza ujenzi mpyaMzee mwenzangu utelezi unazidi kuchosha mwili na kumaliza pensheni.
Jenga nyumba town za mzunguko pangisha kisha urudi kijijini kujenga mjengo, kufuga, kilimo, duka la kupotezea muda.
Hutakiwi kuwa na stress utelezi waweza leta magonjwa pesa wazitafune wengine.