Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwenye kuchora wewe hunishindi. Imagine hii picha hapa chini niliichora huku nimefumba macho na nimetuma mkono wa kushoto ambao siuwezi na nimetumia dakika moja tu.Habari wakuu
Sijapata neno sahihi la kiswahili linaoendana na hobby.
Hobbies ni kitu unachofanya kinachokupa furaha au kuridhika hasa muda unapokuwa uko free.
Hobbies nazopenda
- Kusikiliza muziki hasa wa Pop, Reggae, Country, R&B, Trap na Jazz.
- Kuchora(sketching/drawing)
nitaleta picha nazochora soon!- Kusoma hasa maandishi tu, ndio maana navutiwa na JF sana.
- Kuangalia movies. Genre nazopenda ni Documentary, Comedy, Horrors na Action.
___
Share chochote kuhusu hobbies zako humu kwa picha,kusimulia,na kutaja.
#Hobbies
Fanya hivyo mkuuhahahahaha nakupa 5/10, nitaleta yangu soon uone.
Ukileta usisahau kinitaghahahahaha nakupa 5/10, nitaleta yangu soon uone.
Sawa mkuumapema tu! Ngoja nichore morow leo nipo na mambo nafanya.
Ndo zake huyo mzeeMkuu Ushimen hobby yako ni kuhudhuria misiba ndiyo maana hufurahi pale mtu anapokata kamba kiasi cha kumwita classmate ili kusudi ushiriki msiba kisha upige pilau.
Eti Monetary doctor mzabzab naongopa?
Kila mtu aliyekufa amesoma nayeNdo zake huyo mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hobby yangu kusikiliza umbea, kuona watu wakisutana, kuona fumanizi 😀 😀 watu wamefumaniana, wapenzi wakigombana na kutoleana siri zao..... yaani ukisikia niite; nitakopa nikodi uba nijeee
Atakuwa kakaa nyuma ya nyumba anakunywa bapa na weed huku watoto wake hataki wavute 😂😂 mzee wa ajabuKila mtu aliyekufa amesoma naye
Ndo nipo kwa shostie napiga umbea hatariii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Coca, leo weekend unapiga hobby gani au ndio gossip kama mwenzako.
Weh! Wazee wa hivyo ni wakali pale watoto wao wanapojaribu kuwaiga.Atakuwa kakaa nyuma ya nyumba anakunywa bapa na weed huku watoto wake hataki wavute 😂😂 mzee wa ajabu
Haswa kwa umri huu nachukua safari zangu na za mzee 😂😂 tunagonga vyomboWeh! Wazee wa hivyo ni wakali pale watoto wao wanapojaribu kuwaiga.
hizo sio anime, anime ni animated shows kutoka japan mfano attack on titanhaha tupo wengi najua sema kujitokeza ni kama suala la aibu!
Anime sio sanaa ni kidogo sana, nakubali za kawaida kama
-Rango
-Migration
-Penguins of madagascar
-Ice age
-Iwaju
-Kirikuu
-Kungfu panda
-Puss in boots na zingine nyingi
movies za disney sizikubali kivile maana zina nyimbo sana.
urefu unao?😀mpira wa Pete
Busy na malezi 🤣🤣 Be blessed,Nothing can beat the beauty of adventures.. kuna kipindi mpk boss wangu akawa ananitania we mtalii 🤣
Music.. road trip.. movie.. little wine… staying indoor havina pia mpinzani.
Hobbies zinaenda zikibadilika. Zamani nimesoma sana riwaya za Erick Shigongo… Sahivi sasa, busy na malezi kusoma tunaachia nyie na majiniazi wenzenuuu kina Certified Hater