njeeseka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,373
- 983
Homa ya Kariakoo Dab ndio hiyoooooo.
Mbali na timu hizi kuwa ndio kongwe nchini, pia ndizo zenye washabiki wengi kwa sasa nchini Tanzania na nje ya nchi kama tulivyoona siku za hivi karibuni huko Burundi na Rwanda kuna mashabiki wa timu hizi.
Pamoja na yote yanayosemwa kati ya Simba na Yanga, kuna vitu vinafanyika nje ya dimba kabla ya kipenga kupulizwa. Hapo utasikia kambi imewekwa sehemu salama, mara ooh nani atakuwa wa kwanza kuingia uwanjani.
Wakati mwingine marefa nao ki ubinadamu utakuwa na yeye ni mpenzi wa either Simba au Yanga. Kuna siku nilishuhudia mechi moja yaani refa alishindwa tu kusaidia pasi pindi mpira unapomfuata..achana na hizi timu, ni Ma jayant kwa kweli.
Hata wachezaji wakichukuliwa na hizi timu wanajisikia raha saaaaana mfano Tambwe alishawahi kusema, hakuna raha anayoipata zaidi ya kucheza mechi kati ya hizi timu mbili.
Kuna mengi ya kuongea ila nawaachia ukumbi mtiririke, maana pande huu kuna Ajibu na upande ule kuna Okwi. Mmmh kweli wakutanapo mafahali wawili nyasi hung'oka...ingawa safari hii kuna nyasi bandia..ha ha haaa
Mbali na timu hizi kuwa ndio kongwe nchini, pia ndizo zenye washabiki wengi kwa sasa nchini Tanzania na nje ya nchi kama tulivyoona siku za hivi karibuni huko Burundi na Rwanda kuna mashabiki wa timu hizi.
Pamoja na yote yanayosemwa kati ya Simba na Yanga, kuna vitu vinafanyika nje ya dimba kabla ya kipenga kupulizwa. Hapo utasikia kambi imewekwa sehemu salama, mara ooh nani atakuwa wa kwanza kuingia uwanjani.
Wakati mwingine marefa nao ki ubinadamu utakuwa na yeye ni mpenzi wa either Simba au Yanga. Kuna siku nilishuhudia mechi moja yaani refa alishindwa tu kusaidia pasi pindi mpira unapomfuata..achana na hizi timu, ni Ma jayant kwa kweli.
Hata wachezaji wakichukuliwa na hizi timu wanajisikia raha saaaaana mfano Tambwe alishawahi kusema, hakuna raha anayoipata zaidi ya kucheza mechi kati ya hizi timu mbili.
Kuna mengi ya kuongea ila nawaachia ukumbi mtiririke, maana pande huu kuna Ajibu na upande ule kuna Okwi. Mmmh kweli wakutanapo mafahali wawili nyasi hung'oka...ingawa safari hii kuna nyasi bandia..ha ha haaa