Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena hilo limapengo litupie mbali huko sijui kwanini unahangaika na mizee wakati hendisamu tupo..πBabuuu unawajaza mwenyewee ujue...
Halafu mie wakinshawishi na manissan yao mi ntashindwa kukataa sasa...
Thi unajua mie nikiona Nissan tuu naenda wizout...π€ͺπ€ͺπ€ͺππππ
Na haka ka'tone jamani, akinogewa utamlaumu nani π ππ€£ π€£ Muimbie bana, atakua ana hamu ya kusikia sauti yako
hahaa wivu wa nini mieNdo maana nakupendaga baby wangu huna wivu wakishamba..π
Ohoo basi wacha nitamuimbia mwenyewe, mambo ya kuwa single kwa kujitakia staki kabisa.Na haka ka'tone jamani, akinogewa utamlaumu nani π π
Jamani si kila siku unaniona, hutosheki tuNimeona mama.. Basi nisindikize na kapicha Tena nikakute kule Twitter..π
Hapo kwenye mteremko sasa, nisije pitiliza nikaserereka nikaishia kuvunja kiuno bureFanya kutekeleza na sio kulalamika.. mapenzi Ni Kama mteremko teremka nami mama.. π
πππ Basi ntajiachia kabisaNtakudaka Tena kiuno kabisa utamu kunoga ulipo.. siwezi kukuacha weye..π