Uzi maalum wa kuishauri Simba katika mechi na Al Ahly zinazokuja mfululizo

walengwa ukimaamisha pa kuvunia hizo alama,may be.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuki binafsi... Simba tunasonga mbele hatuna shida na sapoti yako
 
Hata Mimi nakuunga mkono japo Waarabu wanacheza kasi sana , simba wanapaswa kuwashambulia waarabu mfululizo ilikudistabilize mipango yao

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawachongea wenzako,simba washambulie mfululizo huku beki wawa na juuko maboko faulo, watapigwa nyingi tena, ujanja wakacheze defensive game tena more deep
 
As Vita na Al ahly wote wana uhakika wa zaidi ya 90% kuchukua point 9 za nyumbani kila mmoja wao, simba na Soura hawana uhakika huo , kundi limejigawa in between, mengine ni majaaliwa
 
Simba kwa Al ahly hawachomoki. Ule mpira waliocheza na VITA ulionyesha wazi Simba si tishio kwenye kundi hilo.
 
Kikosi cha Simba angekuwa nacho Yanga angefanya maajabu makubwa sana. Simba iache kujiamini kupita kiasi, iache dharau nawahakikishia watafika mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…