Uzi maalum wa kujuana sehemu gani unapitakana au kuishi,ikiwezekana weka jina moja tu

Uzi huu umetokea geti jeusi nini? Anyway me Geechie sina jingine Wa Dar
 
Jina: nyanda dindai
Kazi : sina
Mahali : hapa
Ujumbe : K ni K
 
Jina: Ng'AmBu nGwaMbalA
Makazi: Mpigamiti-liwale
Kazi:Mwindaji
Ujumbe: Dont stop until u get enough ( nimeandikiwa)
 
Wahenga walisema akili ni [HASHTAG]#nywele[/HASHTAG]..... na hawakusema nywele za wapi.
Sasa kama walimaanisha za [HASHTAG]#Kwapani[/HASHTAG] na uku chini alafu nyie kila siku zikistawi [HASHTAG]#mnazinyoa[/HASHTAG] shaulizenu.
mshana jr na Joseverest mtoa post hatutakii mema
 
J. D Keko Magurumbasi(Fenicha), married, accounting finance. Not employed.
 
Jina: Kenobi Kinyatsu
Kazi: Mwanafunzi
Makazi: Kigoma
Kuzaliwa: Mbeya
Ndoa: Sijaoa
Ujumbe: Elimu haina mwisho
 
Jina:Mfungo Nyamsusa Mabunde

Jinsia: Me

Makazi:Mbeya, Mwakibete

Kazi: Kishandu (Mporaji wa simu kwa pikipiki)

Mahusiano: Nina wapenzi sita

Ujumbe: CHIKIRA MTABARI nakuwaza kila saa
 
Jina : Compact
Kazi : DSTV
Makazi : Kwenye Satellite
Ujumbe : Feel Every Moment.
 
Jina: Ngwizukulu Jilala
Makazi: Nyakavangara tarafa ya isimani
Mahusiano: Napenda mabaamedi
Ujumbe: Hata bibi nae alikua binti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…