Ha ha ha.... inabid uonyeshe vyeti vykoJina: Paulo
location: dsm
job: dsm RC
Jina : leiguanan Daby
Eneo : Ngorongoro crater
Kazi : mchunga ng'ombe
Mbwa ww nitataja jina lako saiv
NywanokoJina: nyanda dindai
Kazi : sina
Mahali : hapa
Ujumbe : K ni K
Aisee kumbe wewe wajina ila mimi nakaa huku sumbwili karibu na manarogatiNapenda kuchukua nafasi hii ya kutaka kujuaana maeneo tunapopatikana na si lazima kuweka jina lote sababu ya usalama.. lakin unaweza kuweka kazi au kitu kingine ..
Nianze na mimi mwenyewe...
Jina : Bony
eneo: Bunju B, dar es salaam
Kazi: senior electrical engineers
Sina mke wala mtoto ila ndio nipo kwenye mchakato wa kutafuta mwenza...
Ujumbe : Dont wait until you're rich to be happy... happiness is free
Hahahahahahaha umenifurahisha kweli et remain constant..... Embu kula like ya chuma kwanzajf itasimama milele leo jana na kesho kutwa hizi hizi id zetu zinatosha hayo mengine remain constant....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]jina; joni
naishi; magogoni
kazi; mtumbuzi
ujumbe; ***** zenu na bado mtanyoka
ndo Jina lake ww ulitakaje sasaur
too old for this alafu ukirud nyumbani watoto wanakuitaa baba shame....
Mimi shekhmapadri wachungaji mashekh maimamu nao wamo humu jf never die...kwa ajili ya m2 mmja
shukrani kwa uwepo wako...Mimi shekh
Poashukrani kwa uwepo wako...
Mmmmh sasaa mbona umeruka kipengele Fulani hivihahahah
jin:mwanahawa
eneo;mbagala charambe magengeni..dar es salaam
kazi:mfanyabiashara
ujumbe;MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI..NDIPO MEMA YATAPOANZA KUKUJIA.(AYUBU22;21)