Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nashukuru sanaDont worry boss wangu
Pamoja sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sanaDont worry boss wangu
Pamoja sana
Hahaha😀😀😀 mkuu picha imejieleza
Kumbe kununanuna kaanza kitambo!
Beef Lasagna sijakuelewa kabisa, mbona picha zako zote kali kali!
Beef Lasagna sijakuelewa kabisa, mbona picha zako zote kali kali!
Mheshimiwa alikuwa Bonge la "BITOZI"....
Bila shaka hapa walikuwa kwenye "WARSHA" ya siku tatu kwenye Hotel flani Mkoani....
kimsingi Mzee alifeliHakika hatutakuja kupata kiongozi anaeheshimika kama JK Nyerere. Mzee wetu alijenga vyema jina la tanzania. wengine wamekuwa wakijifananisha na JKN lakini hata chembe yake hawaifikii kazi kujisifu tu.
Hiyo CHADEMA sio ya zamani, ungeweka jembe na nyundo.Kama unayo picha yoyote ya zamani maarufu tupia humu ITAPENDEZA ZAIDI
![]()
miss natafuta kabla hajaanza kubugia blueband na chips mayai!
miondoko ya twist katika ubora wake. daudi kabaka a.k.a mtoboa siri alihanikiza
sura kama ya obama barackHuyu nani mkuu?