mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Kiukweli nimependa hilo pozi la huyu mzee baba wa kulia dah
Halafu anaonekana ni mtu wa fix sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli nimependa hilo pozi la huyu mzee baba wa kulia dah
Huu mkao nimeuandastandi
Nahisi ni obama,japo sina uhakika 100%Huyu nani mkuu?
Enzi hizo bito ndio gari za kifahari mjini
Wenyewe wameiona lakini?Kweli watu wanatoka mbali sana mpaka kufikia hapa walipo sasa hao hapo juu ni Masoud Kipanya na Jokate a,k.a Kidoti.
![]()
Hilo nafiki la kulia aisee. Hapo kikao cha kumleta Luwasa na lenyewe ndio lilianza kumfuata.
Jamani naomba line up ya hao wekundu
Imagine ndio uko mbele yake anakuangalia hivyo.
Hapa Amini alikuwa anawafanyaje hawa wazungu?idd amin
"I am not a politician but a professional
soldier. I am, therefore, a man of few
words and I have been brief through my
professional career."
![]()
Majaliwa huyu huyu?Waziri mkuu
Matako hulia mbwii!Maskini akipata
Madereva wa kisasa huyo twiga angeshakula bampa zamani sana...sema wakati huo magari yalikuwa machache pia...
Imagine ndio uko mbele yake anakuangalia hivyo.
Mzee wa Sumbawanga na jirani yake wa Katavi.
Chuma icho.Nani uyu mwenye suti ya kuungaunga nyekunu
Kazuri kweli kweli[emoji23] [emoji23]
hako kaliko shika kiuno ndo wewe nini?