nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,673
- 5,402
Siasa tu braza, sio mikopo wala ninimikopo ...walikopa badala ya kurudisha wakawa wanajenga stendi za kivyao.....lkn pia siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa tu braza, sio mikopo wala ninimikopo ...walikopa badala ya kurudisha wakawa wanajenga stendi za kivyao.....lkn pia siasa
Hiyo Pasi ya Mkaa Mzee alikuwa nayo, basi wanafunzi wa shule ya Msingi kila siku walikuwa hawakauki hapo home kwa aajili ya kuazima.Kama unayo picha yoyote ya zamani maarufu tupia humu ITAPENDEZA ZAIDI
![]()
Ndugu yangu, hawa ndiyo mama na bibi zetu enzi zao [emoji1][emoji1]Kazi ilikuwepo kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Serious,yaani na Leo bado ni kiongozi,duuuuA Kinana alistaafu mwaka 1972 akiwa na cheo cha Colonel
Serious,yaani na Leo bado ni kiongozi,duuuu
Hapana Kanal A Kinana alistaafu rasmi jeshini mwaka 1992 baada ya ujio wa vyama vingi. Wakati huo akiwa Waziri wa Ulinzi na JKTA Kinana alistaafu mwaka 1972 akiwa na cheo cha Colonel
Hapana Kanal A Kinana alistaafu rasmi jeshini mwaka 1992 baada ya ujio wa vyama vingi. Wakati huo akiwa Waziri wa Ulinzi na JKT
Serious,yaani na Leo bado ni kiongozi,duuuu
hIZI RADIO ZILIKUWA MANUFACTURE KUTOKA NCHI IPI?
Wooooo shangazi yangu Dr. Angelina Mabula enzi zake kule Ilemela (Yanga). Alisema hii ilikuwa siku ya birthday yake.
....na unamkuta bikra. Baada ya hapo kila siku unamnunulia Big G tu kwa raha ya kuokota dhahabu jangwani. Na yeye anaenda shule kuwatambia wenzake kuwa jamaa yake anampenda sana na anamnunulia Big G na ufuto, si siku hizi unamnunulia demu iPhone unakuta kishaharibika na magonjwa ya zinaa kibao.Enzi hizo ukimpata basi ni mahaba tu hakuna kuchunana
Kisonono cha enzi zile kilikuwa na akili yake kwani kilijuwa kudhalilisha watu. Unakuta kwenye kadamnasi la watu ndipo mtu unawashwa kinoma mpaka unachanganikiwa na kujipiga vidole wakati mwingine na ndiyo maana watu walikuwa wanasema kisonono kinaleta wazimu.Enzi hizo adui tb hakuna ukimwi japo kisonono ukikipata lazima utaonekana
Halafu jamaa hawa walikuwa wanapenda kupigana denda siku za usafi......walikuwa wanajifichaga vyooni na kulana denda la kishikaji.Kweli watu wanatoka mbali sana mpaka kufikia hapa walipo sasa hao hapo juu ni Masoud Kipanya na Jokate a,k.a Kidoti.
![]()
Na hapa ndio siku anastaafu rasmi Jeshini 1992 Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi TMA Monduli.Ooh my mistake boss
Kweli 92
magomeni kushuka jangwani
Sasa hapa mwanaume nani Mzee mbona wote wameshika mti