Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amavubi mboana Jengo la Tanesco lilikuwa sawa tu ni nani aliamua kuongeza lile lingine linalobomolewa?
Amavubi nimeipenda sana picha hii ya Stationa ya treni hasa hapo katikati pa kugeuzia vichwa vya treni upende mwingine kilipotoka. Sehemu hii kweli haipo yena labda iliharibiaka ndio wakatengeneza Y kule Railways Club walikobomoa vibanda vya machinga
Nani huyu?
Atakuwa Obama huyo!Huyu nani mkuu?
NdioHuyu ni Zay B?
Dah,mkuu umenikumbusha mbali sana,kuna Redio ya National ilikuwepo home kuna kipindi niliifungua sasa kimbembe kurudishia vifaa vikawa vingi alafu waya zenyewe zilikuwa nyingi kweli.
Kiatu ambacho nyuma kiko wazi kama alichovaa Jojo hapoMsaada please mkuu!
"Choki" ni nini?
Msaada please mkuu!
"Choki" ni nini?
Ni opposite na posta,La cassa chica.posta ya zamani hapa ilikua MPYA
Dah yani huku kuigana avatar huku!! Nimeshtuka sana nikajiuliza nimecomment saa ngap hichi kitu,ndo nikaangalia mara mbili mbili idwala ngwengwe
Mange alisema ni lowasa etAmavubi mboana Jengo la Tanesco lilikuwa sawa tu ni nani aliamua kuongeza lile lingine linalobomolewa?