Daaaah long time kitambo
Asee huyo ni mwalimu wa sengerema aseeNani uyu mwenye suti ya kuungaunga nyekunu
Aseeeee waliotumia hii hela wanyoshe mkono aseee
Kidoti naye kala chumvi
Kiukweli wengine tumepatwa na kigugumizi mkuuhuu uzi machozi yanaweza kukutoka kwa hisia za zamani....maisha kweli tunatoka mbali[emoji22][emoji22]
Huyu ni nani?
Weeee kumbe uyu bibi alikua mzuri hivi? Dah kweli dunia mapitoView attachment 650204
M'bilia Bel
The Red Light Special....[emoji108] [emoji108] [emoji115] [emoji115]
Wakuu iyo aliekua Na mwalim ni nan?