Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
MP
MPOKI KAMA ALIKUWA MGONJWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MPOKI KAMA ALIKUWA MGONJWA
maisha yanabailika hii picha inadhihirisha kabisa KIBA alikuwa Juu ya diamond kwa 100% kwa kila kitu lakini sa hivi ni kinyume kabisa
Angekuwa rais Kinana ungesema bora ya Kikwete kama ambavyo muda huu unatamani raisi angekuwa Kikwete
Huduma zao za kipesa zilisaidia sana wakati pesa yangu kubwa kupokea ilikuwa 70000 pale kamataKadiri mahitaji ya usafiri yalivyokuwa yakiongezeka ndipo michirizi ya rangi ya BLUU,KIJIVU na NYEKUNDU ikaanza kuonekana katika mabasi mengi zaidi yaliyokuwa yakisafirisha abiria karibia kila kona ya Tanzania.
Ilipofika mwaka 2001 kampuni ya Scandinavia walianzisha safari yao ya kwanza kabisa kutoka nje ya nchi kwa safari ya Dare es salaam hadi Nairobi nchini Kenya,ambapo mafanikio ya ruti hiyo yalipelekea kuzaliwa kwa ruti nyingine kati ya Nairobi hadi Mombasa na Mombasa hadi Dar es salaam. Katika mwaka wa 2002 kampuni ya Scandinavia walipanua wigo wa huduma zao kwa kuanza ruti mpya ndani ya Afrika mashariki kwa safari za Dare es salaam hadi Kampala nchini Uganda.
Ilipofika mwaka 2003 kampuni ya Scandinavia ilipanua wigo zaidi kwa kuanza kwenda katika mji mkuu wa nchi ya Zambia Lusaka. Wakati huo wote kampuni ya Scandinavia ilikuwa chini ya mkurugenzi na mwanzilishi wake MR.MUHAMED ABDULLAH.
Wanasema yalikuwepo na si hatukuwepo tutabishaje sasa inabdi kuwakubalia maana ukikataa napo sio maadiliHayo maadili yako wapi
Basi kumbe katazo la jpm linawezekana
kweli maisha hubadilikamaisha yanabailika hii picha inadhihirisha kabisa KIBA alikuwa Juu ya diamond kwa 100% kwa kila kitu lakini sa hivi ni kinyume kabisa
hahaha utatukanwa mkuuDomond hapo alikuwa boya tu, King Kiba Hureee
Hii movie inaitwaje niipakue na km kuna zingine kali unazokumbuka nijuze
Huyo Si Masoud kipanya Bali ni ndugu yake anaitwa Mussa kipanyaKweli watu wanatoka mbali sana mpaka kufikia hapa walipo sasa hao hapo juu ni Masoud Kipanya na Jokate a,k.a Kidoti.
![]()
kwa mujibu wa video vixen wa mbele..jah rule ana machine ambayo Malaya huyo alielala na wana hiphop zaid ya 50,hajawahi iona..wengne ni jayz,odb na busta rhymes
Hii movie inaitwaje niipakue na km kuna zingine kali unazokumbuka nijuze