kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Habari za mchana wa kuu?
Natumauni nyote ni wazima wa afya baada ya kukaa kimya na kutafakari ukazaji wa vyuma hapa kwa MAGUFULI nikaona kwajiri ya kuliwazana nije na huu uzi
Lengo kuu la huu uzi ni kumtakia heri ya sikukuu ya wajinga member yeyote umpendaye
Karibuni sana wakuu mje kwa wingi bila kukosa sikukuu ni kesho tarehe 1-4- njoo umtakie heri ya sikukuu umpendae
Natumauni nyote ni wazima wa afya baada ya kukaa kimya na kutafakari ukazaji wa vyuma hapa kwa MAGUFULI nikaona kwajiri ya kuliwazana nije na huu uzi
Lengo kuu la huu uzi ni kumtakia heri ya sikukuu ya wajinga member yeyote umpendaye
Karibuni sana wakuu mje kwa wingi bila kukosa sikukuu ni kesho tarehe 1-4- njoo umtakie heri ya sikukuu umpendae