Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
Hivi sasa kutafuta ajira Tanzania ni kazi ngumu sana.
Ukweli ni kwamba kuna watu wengi zaidi wanatafuta ajira lakini wanakosa connection ya watu either hafahamiki na watu wenye potential au hata baadhi ya machimbo ya kwenda kujishikiza hayajui.
Unakuta mtu kamaliza chuo hana hata pa kuanzia au mtu katoka village kaja town hana pa kuanzia na hii inatokana na kukosa watu wa kumdirect either kwenda sehemu fulani au kumuweka sehemu Fulani.
Naamini hapa JF kuna watu mashuhuri ambao wana roho ya huruma na wapo kwenye idara tofauti na kuna wengine wanataka kusaidia wengine ila hawapati wanaojitokeza sasa naamini huu utakuwa Uzi kwa wale wote ambao wako sehemu fulani na wanataka kusaidia wengine na wale wote wanaotaka msaada kujitokeza ili kuonekana humu na ikiwezekana kupata connection.
Ukweli ni kwamba kuna watu wengi zaidi wanatafuta ajira lakini wanakosa connection ya watu either hafahamiki na watu wenye potential au hata baadhi ya machimbo ya kwenda kujishikiza hayajui.
Unakuta mtu kamaliza chuo hana hata pa kuanzia au mtu katoka village kaja town hana pa kuanzia na hii inatokana na kukosa watu wa kumdirect either kwenda sehemu fulani au kumuweka sehemu Fulani.
Naamini hapa JF kuna watu mashuhuri ambao wana roho ya huruma na wapo kwenye idara tofauti na kuna wengine wanataka kusaidia wengine ila hawapati wanaojitokeza sasa naamini huu utakuwa Uzi kwa wale wote ambao wako sehemu fulani na wanataka kusaidia wengine na wale wote wanaotaka msaada kujitokeza ili kuonekana humu na ikiwezekana kupata connection.