Uzi maalum wa kupata connection za ajira na machimbo mengine

International rescue committee walitangaza kazi ya research ungeomba
 
Habari mimi pia natafuta ajira. Nina diploma ya UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA. (RECORDS AND ARCHIVES MANAGEMENT). Napatikana Dar es salaam pia sio lazima iwe utunzaji wa kumbukumbu nachoomba ni kazi yoyote ambayo ni halali. Asanteni
 
Natafuta ajira, mwalim wa masomo ya jografia na kiingereza, ngazi ya degree, nipo moshono arusha.
 
Natafuta kazi Mimi ni chef napatikana Arusha pia catering nafanya mwenye connection anisaidie
 
Habari wadau natafuta connection ya ajira.

Jinsia. Kiume

Elimu: Bachelor degree of Science in Accounting and Finance

Uzoefu: Zaidi ya miaka miwili katika
  • Kufile Return za Kodi (VAT, SDL, PAYEE)
  • Kuandaa Mahesabu (Financial statements)
  • Bank reconciliation
  • Maintaining Petty Cash Account
  • Payroll preparation
  • Other accounting duties and general office operations

Napatikana DSM na nipo tiari kwa kazi nje ya DSM.
Nipo tiari kujifunza kwa wengine na kufanya kazi kama team, pia ni muaminifu na hofu ya Mungu

Mawasiliano: 0623887495
 
Namba mbona hujaweka
 
Naombeni connection ya kupata sugar mamy jamani anilee , ninapatikana dar nina umri wa miaka 25 , nguvu za kiume ninazo , serious mwenye connection aniunganishe , sina mpango na vischana kwa sasa


Kama una connection njoo PM
 
Kama hujapata kazi tuwasiliane nina kazi ya kufanya research na kuandika proposal ya afya mkoan
 
Naombeni connection ya kupata sugar mamy jamani anilee , ninapatikana dar nina umri wa miaka 25 , nguvu za kiume ninazo , serious mwenye connection aniunganishe , sina mpango na vischana kwa sasa


Kama una connection njoo PM
Sifa zako?
 
Dhamira ni kwamba kama unapofanyia kazi kuna nafasi hapo wastue wenzako kupitia uzi huu ndo maana ya connection
Kipaza sauti cha nini wakati unaweza kumnongoneza akasikia.Ajira za sasa ndivyo zilivyo
 
Nimesikia watu wakisema eti hii bongo bila Connection hata ndoa inakuwa ngumu.
 
Naombeni connection ya kupata sugar mamy jamani anilee , ninapatikana dar nina umri wa miaka 25 , nguvu za kiume ninazo , serious mwenye connection aniunganishe , sina mpango na vischana kwa sasa


Kama una connection njoo PM
We mzee[emoji15][emoji15]....hii ni itakuwa sasa ni conjunction sio connection
 
Natafuta connection ya UDEREVA wa magari madogo/Makubwa.

Viambatanishi vyote vya kitaaluma na vinginevyo ninavyo.

Napatikana Dodoma.

Kwa yeyote mwenye mazingira ya connection tafadhali tuwasiliane kwa namba hii +255(0) 654 486 097.
 
Mi naomba connection ya kaz yyte nmeishia form four. Nina lesen ya udereva na nna ujuzi wa kutumia computer.
 
Natafuta kazi
Jinsia mwanaume
umri:miaka ishirini na mitano(25)
elimu shahada ya teknolojia mawasiliano na kopyuta(bachelor degree in information technology)
Napatikana dar es salaam
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote
#pia kazi yoyote inayoendana na kozi yangu nafanya au itakayonihitaji kupata mafunzo na maelekezo kwa muda naweza fanya.
Natanguliza shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…