Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Upo mkoa gani na eneo lipi? Kuna project niliianza nikaishia njiani nafikiria kuiendelezaNatafuta kazi mimi ni cameraman na editor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mkoa gani na eneo lipi? Kuna project niliianza nikaishia njiani nafikiria kuiendelezaNatafuta kazi mimi ni cameraman na editor
Niko Manzese - Dar es Salaam mkuuUpo mkoa gani na eneo lipi? Kuna project niliianza nikaishia njiani nafikiria kuiendeleza
Ww uko wapi bossUpo mkoa gani na eneo lipi? Kuna project niliianza nikaishia njiani nafikiria kuiendeleza
Boss nakutafuta kila mahali ila cjui kwann hunipi mrejesho wowoteUpo mkoa gani na eneo lipi? Kuna project niliianza nikaishia njiani nafikiria kuiendeleza
Kampuni ganiKuna kazi ya kuendesha boda ya kampuni
Unaanza na contract ya 6Months
Awe mkazi wa Dar
Awe na mdhamini
Juzi kati tu TTCL walimwaga ajira kibao kupitia utumishiNina miaka kadhaa field ila sijawahi kusikia kazi za Telecom zinatangazwa hovyo... Hivi huwa watu wanaajiriwaje?
Njoo pm mremboHabari.Natafuta connection ya kazi.
Elimu: bachelor of commerce in finance.
Jinsia:Female
Napatikana mwanza
Wataka kunipa connectionNjoo pm mrembo
Mwanza sehemu gani?Habari.Natafuta connection ya kazi.
Elimu: bachelor of commerce in finance.
Jinsia:Female
Napatikana mwanza
Njoo tuyajenge!Wataka kunipa connection
Naomba kama bado ipo uniunganishe tafadhaliUngekua tayar kujitolea kwa muda ningekuunganisha sehem
Nina muda cjaingia jf,,please kama bado nafasi ipo naomba kuunganishwa nmechoka kuwa jobless nduguUngekua tayar kujitolea kwa muda ningekuunganisha sehem