Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
AiseeKatika umri wa miaka kuanzia 16, 17, 18, 19, 20, 21 &22Sio rahisi, Utapoteza marafiki, Utafanya makosa mengi, Utaanguka, Utafeli, Ila utagundua vitu vingi na utakuwa Mwenye nguvu sana.HAKIKA HIYO NI MIAKA BORA YA MAISHA YAKO
Ficha mipango na mikakati yako kwa usalama wa mafanikio yako.
SawasawaUkiinuliwa na Mungu usijikweze bali uzidi kushuka
Usibadilishwe na pesa au nafasi kubwa kwenye jamii
Hakuna utakachopungukiwa
Tafuta hela jifunze kupambana mwenyew upate chako punguza malalamiko kwa watu kwa kushindwa kukusaidia
Kweli kabisa. Ukiinuliwa na Mungu usijikweze bali uzidi kushuka
Usibadilishwe na pesa au nafasi kubwa kwenye jamii
Hakuna utakachopungukiwa
Tafuta hela jifunze kupambana mwenyew upate chako punguza malalamiko kwa watu kwa kushindwa kukusaidia
Ni ngumu kueleweka kwa mwanadamu ila ni rahisi kueleweka kwa Mungu. Usiache kusali na kuomba
✔️✔️Ni ngumu kueleweka kwa mwanadamu ila ni rahisi kueleweka kwa Mungu. Usiache kusali na kuomba
SawaNdege wa mafanikio huruka naa mabawa ya juhudi.
Ni ngumu kueleweka kwa mwanadamu ila ni rahisi kueleweka kwa Mungu. Usiache kusali na kuomba
📌📌Ndege wa mafanikio huruka naa mabawa ya juhudi.
✔️✔️Moja ya kitu kigumu kwenye maisha yako ni kuwa aminisha watu kuwa hauko vilewalivyo kuwa wanakujua hapo kabla. Ishi maisha yako.
Unapopambana Na Umaskini Usisahau Kulinda Afya Yako Kwa Maan Afya Ni Bora Kuliko Utajiri...
Zawadi kubwa katika uhusiano wowote ule ni uaminifu na kuheshimiana."
✅️✅️✅️Zawadi kubwa katika uhusiano wowote ule ni uaminifu na kuheshimiana."
AiseeMoja ya kitu kigumu kwenye maisha yako ni kuwa aminisha watu kuwa hauko vilewalivyo kuwa wanakujua hapo kabla. Ishi maisha yako.