Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Katika umri wa miaka kuanzia 16, 17, 18, 19, 20, 21 &22Sio rahisi, Utapoteza marafiki, Utafanya makosa mengi, Utaanguka, Utafeli, Ila utagundua vitu vingi na utakuwa Mwenye nguvu sana.HAKIKA HIYO NI MIAKA BORA YA MAISHA YAKO