Nidawa hatari sana kwa afya yako, endapo utaitumia bila ushauri wa daktari, Ukitumia dawa hihi mara kwa mara inaweza pelekea Matatizo ya mifupa na joints hapo badae.
Baadhi ya watu huzinunua bila maelekezo ya dakatari. Wapo wanawake wameigeuza hii dawa P² au za kutolea mimba Nihatari sana kwa afya kutumia dawa kwa kutegemeana faida kwenye side effects...Hapo nikujimaliza mwenyewe.
Postinor-2 (P2): Ukweli nikwamba matumizi ya mara kwa mara ya p2 yanaweza kuwa na athari kubwa kwa mtumiaji, Mbaya zaidi imeripotiwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ugumba kwa wanawake
Kwa asilimia kubwa vidonge hivyo hupelekea mabadiliko ya mzunguko wa hedhi, Kuona hedhi mara 2 kwa mwezi au kutoona kabisa, Pamoja na tatizo la Uke mkavu, na maumivu wakati wa tendo