Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Mhubiri 5:18

Tazama, mimi niliyoyaona kuwa ndiyo mema na ya kufaa, ni mtu kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote anayoifanya chini ya jua, siku zote za maisha yake alizopewa na Mungu; maana hilo ndilo fungu lake.
βœ…οΈβœ…οΈβœ…οΈ
 
NAKUBALIANA NA WEWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…