Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

πŸ“ŒπŸ“Œ
 
πŸ‘πŸ‘
 
NAKUBALI
 
βœ”οΈβœ”οΈ
Kama unataka kuhifadhi/kutunza pesa, kila unapopata pesa usianze kuitumia kwanza kisha ukategemea kutunza kiasi kitakachosalia. Hivyo basi, ukipata tu pesa, weka pembeni kiasi unachodhani kinafaa kutunzwa/kuhifadhiwa kisha tumia kiasi kilichobaki.
 
βœ…οΈβœ…οΈ
 
HILI MUHIMU
 
πŸ‘πŸ‘
 
Nakubaliana
 
Ntamshauri tu.
 
βœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈ
Matumizi yako ya pesa yasizidi pato lako. Unaweza kuwa una ndoto kubwa/matumizi makubwa ya pesa kuzidi pato lako. Unapaswa kuwa bahili katika matumizi yako. Cheza na pato lako. Fanya matumizi makubwa pale tu pato lako litakapoongezeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…