myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
ππMimi nitakutangulia, na kuisawazisha milima mbele yako. Nitaivunjavunja milango ya shaba, na kuvikatakata vizuizi vyake vya chuma. Nitakupa hazina zilizofichwa gizani, na mali iliyo mahali pa siri, upate kutambua kwamba mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.β β Isaya 45:2-3
Hata pilipili zikipangwa vizuri huvutia lakini kuvutia kwake hakuondoi muwasho wake. Vivyo hivyo, uongo ukipangwa vizuri huvutia ingawa kuvutia kwake hakuugeuzi uongo kuwa ukweli. Kuwa makini sana na vitu vilivyo katika mpangilio mzuri. Katika mpangilio pia kuna vimeo na vilio.
Hata pilipili zikipangwa vizuri huvutia lakini kuvutia kwake hakuondoi muwasho wake. Vivyo hivyo, uongo ukipangwa vizuri huvutia ingawa kuvutia kwake hakuugeuzi uongo kuwa ukweli. Kuwa makini sana na vitu vilivyo katika mpangilio mzuri. Katika mpangilio pia kuna vimeo na vilio.
πππHata pilipili zikipangwa vizuri huvutia lakini kuvutia kwake hakuondoi muwasho wake. Vivyo hivyo, uongo ukipangwa vizuri huvutia ingawa kuvutia kwake hakuugeuzi uongo kuwa ukweli. Kuwa makini sana na vitu vilivyo katika mpangilio mzuri. Katika mpangilio pia kuna vimeo na vilio.
Ishi kama unacheza drafti, angalia mchezo wa mbele na nyuma kwasababu kotekote unaweza kuliwa.
Ishi kama unacheza drafti, angalia mchezo wa mbele na nyuma kwasababu kotekote unaweza kuliwa.
Sio kila anaesema samahani baada ya kukukosea basi amedhamiria kutoka moyoni wengi hufanya hivyo ili kukupunguzia hasira au kuepusha shari kwa wakati huo na ukitaka kujua hakuomba msamaha kutoka moyoni, basi utaona anarudia kosa lile lile tena na tena
ππUkitaka Kuishi Vizuri Hapa Duniani Basi Kubali Kuwa Mwanafunzi Siku Zote, Kwa sababu Maisha Hayaachi Kutufundisha!
β οΈβ οΈβ οΈKama hupati unachopenda penda unachopata.Tafuta pesa kwa bidii lakn usisahau kuzitumia kwa heshima.
βοΈβοΈβοΈUkitaka Kuishi Vizuri Hapa Duniani Basi Kubali Kuwa Mwanafunzi Siku Zote, Kwa sababu Maisha Hayaachi Kutufundisha!
Binadamu tunahitajiana ndio maana tunaishi kijamaa, kindugu na kifamilia ... anaweza kuwa sio rangi yako uipendayo kwa sasa lakini siku moja utamuhitaji akamilishe picha yako. Chunga maneno yako
βοΈβοΈβοΈBinadamu tunahitajiana ndio maana tunaishi kijamaa, kindugu na kifamilia ... anaweza kuwa sio rangi yako uipendayo kwa sasa lakini siku moja utamuhitaji akamilishe picha yako. Chunga maneno yako
βοΈβοΈBinadamu tunahitajiana ndio maana tunaishi kijamaa, kindugu na kifamilia ... anaweza kuwa sio rangi yako uipendayo kwa sasa lakini siku moja utamuhitaji akamilishe picha yako. Chunga maneno yako
βοΈBinadamu tunahitajiana ndio maana tunaishi kijamaa, kindugu na kifamilia ... anaweza kuwa sio rangi yako uipendayo kwa sasa lakini siku moja utamuhitaji akamilishe picha yako. Chunga maneno yako
βοΈβοΈMaisha Ni mapambano na Dunia Ni uwanja wa vita, Pambana Hadi tone la mwisho la Damu hakuna kukata tamaa.
NB: Unapo pambana na hali yako angalia usipite kwenye mstari wa mtu mwingine
βοΈβοΈMaisha Ni mapambano na Dunia Ni uwanja wa vita, Pambana Hadi tone la mwisho la Damu hakuna kukata tamaa.
NB: Unapo pambana na hali yako angalia usipite kwenye mstari wa mtu mwingine
βοΈβοΈSio kila anaesema samahani baada ya kukukosea basi amedhamiria kutoka moyoni wengi hufanya hivyo ili kukupunguzia hasira au kuepusha shari kwa wakati huo na ukitaka kujua hakuomba msamaha kutoka moyoni, basi utaona anarudia kosa lile lile tena na tena
β οΈβ οΈMsifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru. Na amani ya Mungu, ambayo inapita ufahamu wote, italinda mioyo yenu na nia zenu kwa Kristo Yesu."(Wafilipi 4:6-7)