myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Penda sana kutumia neno TUMEFANYA, husudu neno TUMESHINDA, usikimbilie kusema neno TUMEPOTEZA kama hujawahi kusema TUMEFANYA, popote tanguliza wingi, jiweke nyuma ama kaeni mbele nyote kwa pamoja, mwisho wa siku mtafanya kwa wakati wenu na kuondoka zenu
Usisahau kuna wakati wakishakuumiza watarudi kuulizia unaendeleaje ili wapime ukubwa wa majeraha waliyokuachia, waache waende tutawapa tabasamu, wakirudi tutawaonesha tabasamu, ushindi wao ni kutuona tukiumia na wanaumia sana kuona hatujaumia
Usisahau kuna wakati wakishakuumiza watarudi kuulizia unaendeleaje ili wapime ukubwa wa majeraha waliyokuachia, waache waende tutawapa tabasamu, wakirudi tutawaonesha tabasamu, ushindi wao ni kutuona tukiumia na wanaumia sana kuona hatujaumia
Ujumbe huu muhimuNdege akikaa kwenye Mti mmoja kwa muda mrefu basi huyo anataka kupigwa jiwe, haijalishi pana uzuri kiasi gani, haijalishi unapapenda kwa namna gani, ukikaa hapo kwa muda mrefu unaalika Maadui”
Ndege akikaa kwenye Mti mmoja kwa muda mrefu basi huyo anataka kupigwa jiwe, haijalishi pana uzuri kiasi gani, haijalishi unapapenda kwa namna gani, ukikaa hapo kwa muda mrefu unaalika Maadui”
Ndege akikaa kwenye Mti mmoja kwa muda mrefu basi huyo anataka kupigwa jiwe, haijalishi pana uzuri kiasi gani, haijalishi unapapenda kwa namna gani, ukikaa hapo kwa muda mrefu unaalika Maadui”
Usisahau kuna wakati wakishakuumiza watarudi kuulizia unaendeleaje ili wapime ukubwa wa majeraha waliyokuachia, waache waende tutawapa tabasamu, wakirudi tutawaonesha tabasamu, ushindi wao ni kutuona tukiumia na wanaumia sana kuona hatujaumia
Penda sana kutumia neno TUMEFANYA, husudu neno TUMESHINDA, usikimbilie kusema neno TUMEPOTEZA kama hujawahi kusema TUMEFANYA, popote tanguliza wingi, jiweke nyuma ama kaeni mbele nyote kwa pamoja, mwisho wa siku mtafanya kwa wakati wenu na kuondoka zenu
KweliNdege akikaa kwenye Mti mmoja kwa muda mrefu basi huyo anataka kupigwa jiwe, haijalishi pana uzuri kiasi gani, haijalishi unapapenda kwa namna gani, ukikaa hapo kwa muda mrefu unaalika Maadui”
Usisahau kuna wakati wakishakuumiza watarudi kuulizia unaendeleaje ili wapime ukubwa wa majeraha waliyokuachia, waache waende tutawapa tabasamu, wakirudi tutawaonesha tabasamu, ushindi wao ni kutuona tukiumia na wanaumia sana kuona hatujaumia
Tukiumizwa tunapaswa kulia lakini tukisonga mbele, tunapofeli tunapaswa kujipanga, tunapokosewa tunapaswa kusamehe, tunapooneshwa dharau sisi tuwalipe heshima, hatulipi ubaya kwa ubaya, hatuiti kisu kwa kisu, tunalipa upendo kwenye chuki, tunalipa wema kwenye ubaya”
Tukiumizwa tunapaswa kulia lakini tukisonga mbele, tunapofeli tunapaswa kujipanga, tunapokosewa tunapaswa kusamehe, tunapooneshwa dharau sisi tuwalipe heshima, hatulipi ubaya kwa ubaya, hatuiti kisu kwa kisu, tunalipa upendo kwenye chuki, tunalipa wema kwenye ubaya”
Tukiumizwa tunapaswa kulia lakini tukisonga mbele, tunapofeli tunapaswa kujipanga, tunapokosewa tunapaswa kusamehe, tunapooneshwa dharau sisi tuwalipe heshima, hatulipi ubaya kwa ubaya, hatuiti kisu kwa kisu, tunalipa upendo kwenye chuki, tunalipa wema kwenye ubaya”
Tukiumizwa tunapaswa kulia lakini tukisonga mbele, tunapofeli tunapaswa kujipanga, tunapokosewa tunapaswa kusamehe, tunapooneshwa dharau sisi tuwalipe heshima, hatulipi ubaya kwa ubaya, hatuiti kisu kwa kisu, tunalipa upendo kwenye chuki, tunalipa wema kwenye ubaya”
Kuwa makini wakati unashinda ila kuwa makini zaidi wakati unaanguka, ushindi una Watu na shangwe ila anguko lina majuto na dharau, zote ni baraka za Mungu kwa namna tofauti zipokee vyema
Usisahau kuna wakati wakishakuumiza watarudi kuulizia unaendeleaje ili wapime ukubwa wa majeraha waliyokuachia, waache waende tutawapa tabasamu, wakirudi tutawaonesha tabasamu, ushindi wao ni kutuona tukiumia na wanaumia sana kuona hatujaumia
✔️✔️✔️“Kuwa makini wakati unashinda ila kuwa makini zaidi wakati unaanguka, ushindi una Watu na shangwe ila anguko lina majuto na dharau, zote ni baraka za Mungu kwa namna tofauti zipokee vyema
Ujumbe huuTuna makosa yetu ila tuna mema yetu, tuna uzuri wetu na tuna ubaya wetu, tuna vilio na furaha kwenye maisha yetu na maisha ya wengine, akitokea Mtu akahubiri mabaya yetu kuliko mazuri yetu basi hatutajielezea kwakuwa Binadamu hutaka kusikia anachotaka kuambiwa
✅️✅️Tuna makosa yetu ila tuna mema yetu, tuna uzuri wetu na tuna ubaya wetu, tuna vilio na furaha kwenye maisha yetu na maisha ya wengine, akitokea Mtu akahubiri mabaya yetu kuliko mazuri yetu basi hatutajielezea kwakuwa Binadamu hutaka kusikia anachotaka kuambiwa
Ni kweliHakuna anayekutazama kwa umakini na utulivu kama yule ambaye hakuamini uwezo wako, ukishalitambua hilo hakikisha unawakaribisha kwenye ukumbi wa cinema watazame “show” yako ya ushindi vizuri