Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Ili uwe na furaha lazima Uwe huru kihisia, na ili uwe huru kihia basi ni lazima ujifunze kuachilia maumivu ya nyuma, kuachilia matukio yote yaliyokutoa machozi kwa kukuumiza na kukuachia makovu makubwa ya kihisia katika maisha yako