Tunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako