Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Sawa QUOTE="Numbisa, post: 53093693, member: 403420"]
TAMBUA MBINU ZA KUDHIBITI HASIRA
Kama Binadamu unahaki ya kukasirika endapo utachukizwa, ila chunga utakachokifanya au utakachokizungumza baada ya kukasirika, kumbuka hasira huisha ila matendo utakayoyafanya au maneno utakayoyazungumza yataishi kwenye vichwa vya watu muda wote
[/QUOTE]
Sawa
 
Tunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
Muhimu sana
 
📌📌
Tunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
 
NAKUBALI
Tunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
 
Tunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
Ujumbe mzito
 
TAMBUA MBINU ZA KUDHIBITI HASIRA
Kama Binadamu unahaki ya kukasirika endapo utachukizwa, ila chunga utakachokifanya au utakachokizungumza baada ya kukasirika, kumbuka hasira huisha ila matendo utakayoyafanya au maneno utakayoyazungumza yataishi kwenye vichwa vya watu muda wote
Nakubaliana na hili
 
Kama haupo tayari kupokea maumivu basi haupo tayari kujifunza na kuimarika. Kwasababu kwenye maisha ya kila siku hauwezi kukosa siku ambayo utakutana na jambo la kukukera, kukuumiza au kukuangusha ila chamsingi kwako ni kuwa tayari kuinuka baada ya kuangushwa na kusonga mbele
✅️✅️✅️
 
Mawazo yako, maamuzi yako, tabia yako na mienendo ya maisha yako ya kila siku yanaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka na watu unaoshinda nao. Hivyo basi ukitaka kubadilika na kuwa mtu mpya badilisha mazingira, badilisha watu unaoshinda nao na namna unavyotazama maisha yako
✅️✅️✅️
 
Mawazo yako, maamuzi yako, tabia yako na mienendo ya maisha yako ya kila siku yanaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka na watu unaoshinda nao. Hivyo basi ukitaka kubadilika na kuwa mtu mpya badilisha mazingira, badilisha watu unaoshinda nao na namna unavyotazama maisha yako
📌📌📌
 
Mawazo na Maamuzi..
Mawazo yako, maamuzi yako, tabia yako na mienendo ya maisha yako ya kila siku yanaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka na watu unaoshinda nao. Hivyo basi ukitaka kubadilika na kuwa mtu mpya badilisha mazingira, badilisha watu unaoshinda nao na namna unavyotazama maisha yako
 
Back
Top Bottom