myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Usiige matumizi na matanuzi, angalia kipato chako na maisha yako na sio wengine wanafanya nini na wewe ufanye
Usiwe mtu wa kutoa fedha au kutumia fedha ili uwafurahishe watu wengine, Aidha unatoa au unatumia ili usifiwe au usisemwe
Usiwe mtu wa kutumia au kutoa fedha kwa mihemko
CHANGAMOTO ZA FEDHA NI MIONGONI MWA SABABU KUU ZA KUDHOOFISHA AFYA YA AKILI, HIVYO BASI ZINGATIA HAYA
1. Hautakiwi kuwa na aibu kwenye kutafuta
CHANGAMOTO ZA FEDHA NI MIONGONI MWA SABABU KUU ZA KUDHOOFISHA AFYA YA AKILI, HIVYO BASI ZINGATIA HAYA
1. Hautakiwi kuwa na aibu kwenye kutafuta
β οΈπCHANGAMOTO ZA FEDHA NI MIONGONI MWA SABABU KUU ZA KUDHOOFISHA AFYA YA AKILI, HIVYO BASI ZINGATIA HAYA
1. Hautakiwi kuwa na aibu kwenye kutafuta
Muhimu sanaTunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
Tunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
Tunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
Ujumbe mzitoTunza aibu za mwenzako ili Mwenyezi Mungu akutunzie za kwako, hakuna mkamilifu katika hii dunia kila mtu ana madhaifu yake na aibu zake ambazo zimejificha, Hata kama hakuna mahusiano mazuri kati yenu, lakini jua ya kwamba ugomvi kati yenu hauhalalishi kutangaza aibu za mwenzako
SawasawaIli uwe na furaha lazima Uwe huru kihisia, na ili uwe huru kihia basi ni lazima ujifunze kuachilia maumivu ya nyuma, kuachilia matukio yote yaliyokutoa machozi kwa kukuumiza na kukuachia makovu makubwa ya kihisia katika maisha yako
Nakubaliana na hiliTAMBUA MBINU ZA KUDHIBITI HASIRA
Kama Binadamu unahaki ya kukasirika endapo utachukizwa, ila chunga utakachokifanya au utakachokizungumza baada ya kukasirika, kumbuka hasira huisha ila matendo utakayoyafanya au maneno utakayoyazungumza yataishi kwenye vichwa vya watu muda wote
β οΈβ οΈβ οΈKama haupo tayari kupokea maumivu basi haupo tayari kujifunza na kuimarika. Kwasababu kwenye maisha ya kila siku hauwezi kukosa siku ambayo utakutana na jambo la kukukera, kukuumiza au kukuangusha ila chamsingi kwako ni kuwa tayari kuinuka baada ya kuangushwa na kusonga mbele
β οΈβ οΈβ οΈMawazo yako, maamuzi yako, tabia yako na mienendo ya maisha yako ya kila siku yanaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka na watu unaoshinda nao. Hivyo basi ukitaka kubadilika na kuwa mtu mpya badilisha mazingira, badilisha watu unaoshinda nao na namna unavyotazama maisha yako
πππMawazo yako, maamuzi yako, tabia yako na mienendo ya maisha yako ya kila siku yanaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka na watu unaoshinda nao. Hivyo basi ukitaka kubadilika na kuwa mtu mpya badilisha mazingira, badilisha watu unaoshinda nao na namna unavyotazama maisha yako
Mawazo yako, maamuzi yako, tabia yako na mienendo ya maisha yako ya kila siku yanaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka na watu unaoshinda nao. Hivyo basi ukitaka kubadilika na kuwa mtu mpya badilisha mazingira, badilisha watu unaoshinda nao na namna unavyotazama maisha yako
βοΈβοΈIli uwe na furaha lazima Uwe huru kihisia, na ili uwe huru kihia basi ni lazima ujifunze kuachilia maumivu ya nyuma, kuachilia matukio yote yaliyokutoa machozi kwa kukuumiza na kukuachia makovu makubwa ya kihisia katika maisha yako
Masomo ya kuzingatia zaidi maishani ni saikolojia ya mwanadamu, falsafa, mindset na sayansi ya kuzalisha pesa
ππIli uwe na furaha lazima Uwe huru kihisia, na ili uwe huru kihia basi ni lazima ujifunze kuachilia maumivu ya nyuma, kuachilia matukio yote yaliyokutoa machozi kwa kukuumiza na kukuachia makovu makubwa ya kihisia katika maisha yako